Tanesco naomba mniingizie Umeme,nimeripia tangu tarehe1/4/2020,nikija ofisini kweni majibu ni kuwa corona imesababisha Vifaa vichelewe naomba Umeme Jamani, nyumba yetu ipo ndani ya mita 10tu, Nipo Tukuyu kkk Hapa jirani Kabisa na Mbuja english medium please
Aisee hali inayoendelea pale ndaga sio yenyewe mpaka kufikia alhamisi hapakua swali kabisa,polisi walikuwa wengi mara msafara wa mkuu wa mkoa,nikajiuluza sasa mkuu wa mkoa anakwenda kuongea na wananchi au polisi maana wananchi wote wamesepa,nyuma ya siti niliyokaa kulikwepo na mzee aliyepandia...
Uhamisho wa kutoka sekondari kwenda msingi imeendekea kuwa kero hapa wilayani, Rugwe mwalimu anahamishwa sekondari moja na kupelekwa shule ya msingi mbali na maeneo anayoishi wakati alikohamishiwa Kuna sekondari nazo pia zina waalimu waliozidi, sijui hawa wakuu wa idara wanachuki gani na sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.