Ww jamaa nakutafta. Umenifanya nifungue account kwenye iyo paripesa nimeweka Hela . kutoka mpesa lakn mpaka leo haijawai ingia kwenye account na mpesa wanasema imeenda
Wakuu Kuna mtu anaweka matangazo ya kampuni ya kubet inaitwa baripesa mbona nmetapeliwa live nimeweka Hela voda wanasema imeenda lkn kwenye account hakna hata mia .[emoji25] Voda wanauliza me nimewajulia wapi ? Nikashindwa nijibu nn
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.