Hata mimi sjui nifanyaje Niko na uyu mke miaka 10 sasa .mtoto wetu Yuko darasa la 6.uyu mwanamke amekuja nivuruga baada kuwa na makelele .natoka kwenye miangaiko nimechoka . Nikifka nyumbani kelele naambiwa natoka kwenye michepuko. Saiz tunalala tu ni zaidi ya miezi mi 3 tnalala kitanda kimoja...
Jana naangalia clouds tv wakafika kwenye maandamano ya chadema mwanza ukafka muda Lissu anaongea walikata Kila kitu wakaweka matangazo hata hayaelewek ni ya nn aise hii nchi bado sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.