Recent content by Kyawanjubu

  1. Kyawanjubu

    Inakuwaje mungu wao apigwe misumari kwenye msalaba na watu uliowaumba?

    Mbn Kuna mwingine ngurue alipita na kichwa chake mpaka leo wanamchukia mdudu
  2. Kyawanjubu

    Arusha: Afariki baada ya kuingia kwenye kisima chenye mita 60 kumtoa mbuzi

    Nimepita hapo zimamoto naona askari wanajifunga mamifuko nikajua labda wanaenda kwenyr nyuki
  3. Kyawanjubu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ww jamaa nakutafta. Umenifanya nifungue account kwenye iyo paripesa nimeweka Hela . kutoka mpesa lakn mpaka leo haijawai ingia kwenye account na mpesa wanasema imeenda
  4. Kyawanjubu

    Msaada: Nahitaji mkopo usio na riba

    We uza tu kiwanja nani akupe Hela bure
  5. Kyawanjubu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu Kuna mtu anaweka matangazo ya kampuni ya kubet inaitwa baripesa mbona nmetapeliwa live nimeweka Hela voda wanasema imeenda lkn kwenye account hakna hata mia .[emoji25] Voda wanauliza me nimewajulia wapi ? Nikashindwa nijibu nn
  6. Kyawanjubu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jana Nice kanichania nmempa corner aongoze kweli mpaka mapumziko ana 3 Kwa 1 FT 4-4
  7. Kyawanjubu

    Aliyemshauri Rais Samia aseme yeye ni ‘Chura Kiziwi’ alimpotosha

    Kwamba mpaka kusema chura kiziw ameambiwa
  8. Kyawanjubu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nenda football predictions co uhakika sana
Back
Top Bottom