Recent content by kyaseni

  1. K

    NECTA yatangaza upya Matokeo ya Kidato cha Nne 2012

    Heri ya wale waliofaulu kwa haki ambao nafsi zao zinayafahamu matokeo yanayowapa pia Ole wao wale waliopata nafasi kimabumashi kwani huko mbeleni hawatakuwa na bahati hiyo ya mtende kuota jangwani kwani Taifa litaangamia kwa kukosa maarifa, hakuna tabu kwani kwenye msafara wa mamba kenge...
  2. K

    Maskini Nkamia,afuta swali lake kwa Membe!

    Siyo asili ya wana CCM kujirekebisha wamezoea kujiona miungu watu,hiyo tabia ya kuropoka akaifanyie nyumbani kwake!
  3. K

    Wazee wa Mtwara wanajipanga kuigeuza Gesi yote kuwa maji

    Waitake kututeka mawazo,kwanini kila mmoja asijivutie bomba kwake japo wawashe taa na kupikia,ama wanataka kumkomoa nani?
  4. K

    Miraji Kikwete atoa Tisheti 500 kwa msiba wa Ngwair

    Hazina faida zaidi ya kuficha maovu,huo ndiyo ujira wa kampeni alizoifanyia CCM?
  5. K

    Miraji Kikwete atoa Tisheti 500 kwa msiba wa Ngwair

    Hazina faida zaidi ya kuficha uovu wao,huo ndiyo ujira wa kampeni alizoifanyia CCM
  6. K

    Kwa ufundishaji huu,matokeo ya mitihani yatafutwa kila mwaka

    IKIWA matatizo ya walimu hayatashughulikiwa ipasavyo ikiwemo kupata walimu wenye viwango vinavyokubalika ninahakika matokeo ya miyihani yatakuwa yakifuta kila mwaka wala siyo kwa kidato cha nne pekee bali hata kwa kidato cha pili pengine hata shule za msingi,ukiondoa wale wa kidato cha sita...
  7. K

    Hotuba ya wenje:hata CCM hawawezi ipenda..ndio maana waliwahi katisha bunge.

    Ashakum si matusi ndugu zangu waliberali haiwezekani ukubali kuolewa kisha ukatae baadhi ya masharti ya muoaji,hapa mnajiosha tu ila mutabaki na sera zenu za kiliberali,ndiyo maana ilikuwa rahisi kwenu kuolewa na magamba!
  8. K

    Lowassa na siasa za makanisani?

    Hamna hamna ndimo muliwamo,huwezi kuvuna usipopanda.
  9. K

    PICHA: Mwigulu Nchemba alipowasili Mbeya

    Haya mzee wa matusi mazito,fanya kama ulivyofanya poromosha zaidi ya yale ya Arusha,ukimaliza,kanyoe hizo ndevu sababu zinakufanya uonekane katili wa sura na roho.
  10. K

    PICHA: Mwigulu Nchemba alipowasili Mbeya

    Huku tunapoelekea ni kubaya kuliko tulipotoka,hata mimi nashangaa chama chao lini kilianza kuwa na nyota nyekundu? Hawa watu wanashangaza, ole wao wale wanaocheka kwa mambo yanayotendwa na watu hao leo maana watalia na kusaga meno mambo yatakapo geuka!
  11. K

    Green guard (CCM) wamewajeruhi vibaya vijana wa CHADEMA Wilayani Mufindi IRINGA

    Haya waendelee kujitangaza kuwa Tanzania ni nchi yenye demokrsia duniani,kama vile cc hatujui kusoma na picha hatuzioni. Ila ni vyema kujiuliza kuwa lini mtakubali matokeo,watanzania wa leo siyo wale wa enzi za kale,mtatuvunja miguu,mbavu,mtatung'oa kucha na meno yetu na vyote mnavyoweza ila...
  12. K

    Why Obama is visiting Tanzania

    Kama ninakumbuka vizuri Clinton alipo kuja alitembelea Kigamboni,pale panapojengwa mji mpya kwa sasa huku watz wakitakiwa kuachia eneo na kusogea mbele, kisha alituzuga kwa kudai kufungua salon ya kunyoa nywele ya kisasa eneo la Magomeni,kisha kuelekea Mtwara mpka bwawa la wamakonde kuitwa jina...
  13. K

    Updates: Yanayojiri Mtwara - hali bado tete (Mei 23/24, 2013)

    Bunge liondowe ushabiki wa vyama,lisimamie Serikali kutekeleza,kuelimisha pia kuweka mikataba ya gesi wazi kwa wananchi wa Mtwara,kwani amani ya nchi Tanzania ipo mashakani. Serikali isijizungushe kutafuta mchawi ni nani kwani kumekuwa na desturi ya kutoa majibu mepesi kwa maswali...
Back
Top Bottom