Heri ya wale waliofaulu kwa haki ambao nafsi zao zinayafahamu matokeo yanayowapa pia Ole wao wale waliopata nafasi
kimabumashi kwani huko mbeleni hawatakuwa na bahati hiyo ya mtende kuota jangwani kwani Taifa litaangamia kwa kukosa maarifa, hakuna tabu kwani kwenye msafara wa mamba kenge...
IKIWA matatizo ya walimu hayatashughulikiwa ipasavyo ikiwemo kupata walimu wenye viwango vinavyokubalika
ninahakika matokeo ya miyihani yatakuwa yakifuta kila mwaka wala siyo kwa kidato cha nne pekee bali hata kwa kidato cha pili pengine hata shule za msingi,ukiondoa wale wa kidato cha sita...
Ashakum si matusi ndugu zangu waliberali haiwezekani ukubali kuolewa kisha ukatae baadhi ya masharti ya muoaji,hapa mnajiosha tu ila mutabaki na sera zenu za kiliberali,ndiyo maana ilikuwa rahisi kwenu kuolewa na magamba!
Haya mzee wa matusi mazito,fanya kama ulivyofanya poromosha zaidi ya yale ya Arusha,ukimaliza,kanyoe hizo ndevu sababu zinakufanya uonekane katili wa sura na roho.
Huku tunapoelekea ni kubaya kuliko tulipotoka,hata mimi nashangaa chama chao lini kilianza kuwa na nyota nyekundu?
Hawa watu wanashangaza, ole wao wale wanaocheka kwa mambo yanayotendwa na watu hao leo maana watalia na kusaga meno mambo yatakapo geuka!
Haya waendelee kujitangaza kuwa Tanzania ni nchi yenye demokrsia duniani,kama vile cc hatujui kusoma na picha hatuzioni.
Ila ni vyema kujiuliza kuwa lini mtakubali matokeo,watanzania wa leo siyo wale wa enzi za kale,mtatuvunja miguu,mbavu,mtatung'oa kucha na meno yetu na vyote mnavyoweza ila...
Kama ninakumbuka vizuri Clinton alipo kuja alitembelea Kigamboni,pale panapojengwa mji mpya kwa sasa huku watz wakitakiwa kuachia eneo na kusogea mbele, kisha alituzuga kwa kudai kufungua salon ya kunyoa nywele ya kisasa eneo la Magomeni,kisha kuelekea Mtwara mpka bwawa la wamakonde kuitwa jina...
Bunge liondowe ushabiki wa vyama,lisimamie Serikali kutekeleza,kuelimisha pia kuweka mikataba ya gesi wazi kwa wananchi wa Mtwara,kwani amani ya nchi Tanzania ipo mashakani.
Serikali isijizungushe kutafuta mchawi ni nani kwani kumekuwa na desturi ya kutoa majibu mepesi kwa maswali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.