Recent content by KYANYINIMARAIGA

  1. K

    BAKWATA na Waislamu wengine, kila kitu kinachofanywa na Serikali kiko sawa kwenu?

    kazi kubwa ya waumini wa Kiislamu ni kumuabudu Mwenyezi Mungu kwa kutekeleza yaliyomo kwenye Qurani tukufu na sunna za Mtume Mohamed S.A.w.Kama ukitimiza yaliyoamrishwa na Mwenyezi Mungu utaishi kwa amani na furaha.
  2. K

    Wema, Zari Hapatoshi Mitandaoni, Maua Yazua Gumzo Balaa

    apate mtu wa karibu amfanyie ushauri nasaha.unajua umaarufu ukiambatana na uwezo kifedha una vutia vishawishi vingi kama hukuandaliwa kukabiriana navyo.
  3. K

    TANESCO jipu, Prof. Muhongo ndiye waziri bora wa nishati kuliko mawaziri wote katika sekta hii ya nishati

    mimi naishi Ukonga,naweza sema pamoja na umeme kukatika kuna afadhali kubwa sana kuliko huko nyuma tulikotoka.Umeme ukikatika tuna uhakika baada ya muda utarudi.na ukiwapigia simu TANESCO wanakujibu kiungwana na wanakwambia kinachoendelea.Tuwape muda ,na nyenzo muhimu ninaona kuna mabadiliko...
  4. K

    Wema, Zari Hapatoshi Mitandaoni, Maua Yazua Gumzo Balaa

    kila mtu ana tafsiri yake ya ujumbe uliotolewa na maua ..........sisi binadamu ndo tunashabikia uhasama. Ingefurahisha Zaidi kama ushabiki wetu ungejielekeza katika kuwanasihi hawa wanandoa waliotengana ili wajue na kujutia makosa yao warudiane kwa faida ya watoto wao.
  5. K

    Hivi ninyi wapenzi wa Clouds radio mnaenjoy au mnakereka kama mimi?

    Naona kabla ya kulaumu chombo chochote cha habari,tujitahidi kujua usajili wao unawaruhusu kufanya nini.Kwa maana ya kusoma memorandum na articles of association ya chombo husika.Aidha tusisahau vyombo vingi vya binafsi vinajiendesha kwa mapato ya ndani ,tofauti na vyombo vya serikali...
  6. K

    Bashe: Albert Msando usitafute cheo kwa kupitia mgongo wangu, pambana na hali yako

    Kila penye tatizo ni vizuri kutulizana na kutafuta ufumbuzi kwa busara.Nchi yetu imeweka mifumo mingi ya kutoa haki.inaweza ikawa dhaifu au ikawa na nguvu kwa jinsi inavyotumika.Kuna mihimili mitatu na yote ina raslimali watu na majukumu yanayoitofautisha..Kama kila Mwananchi;kiongozi atakuwa...
  7. K

    Umewahi kuwa na mpenzi 'hopeless' ambaye zaidi ya 'sex' hakuna kinachowaunganisha?

    kwa mtazamo wangu ,inawezekana ukapata mtu wa aina hiyo awe mwanamke au mwanaume.Lakini kama unaona kwamba hana muelekeo ,pengine uelewa wake wa mambo ni mdogo,au elimu yake iko chini sana ukilinganisha na umri wake au na elimu yako,ni vizuri uchukue hatua za ziada za kumsaidia.Moja ya mambo...
  8. K

    Zanzibar: Marubani wawili wa chuo cha usafiri wa anga wafariki baada ya ndege yao kudondoka uwanja wa ndege wa Karume

    Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ni marejeo.tunamuomba Allah awapumzishe mahali stahiki .amina
  9. K

    Je, ATCL inahujumiwa kibiashara? Tutumie a political will kuinusuru au tuiache iangamizwe na ushindani?

    Uzalendo ni kitu muhimu sana lakini katika hili la biashara kuna umuhimu wa kuwa makini.Kwanza tuangalie historia ya hali ya usafiri wa Anga tangu tupate uhuru.Ukiangalia sana Mkoa wa Kigoma ni mmoja ya mikoa ambayo usafiri wa anga ulikuwa wa matatizo makubwa.Treni ndo usafiri wa kuaminika...
  10. K

    Serikali ipige marufuku uvaaji wa kininja (Niqabu) kwenye maeneo ya umma, ni hatari kwa taifa letu

    Nafikiri mtoa hoja ana agenda na hao wavaa "hijabu"(hikabu).tuwe waangalifu tusije kuingilia imani na tamaduni za watu wengine.
  11. K

    Huyu ndio mwanaume ninayemtaka, sitaki kuumiza moyo wangu una thamani

    hongera dada kwa kujiweka sokoni yote mazuri ila suala la kabila limepitwa n.a. wakati hii Iinakuondolea sifa moja kuu ya upendo..waacha sifa zako zikutangaze .Epuka kupiga ngoma ukaicheza mwenyewe.wapelelezi wa nyumba bora ya kupata mke wapo .Kumbuka mke mwenye sifa...
  12. K

    Je, ni kweli mji wa Mecca upo katikati ya dunia?

    muhimu kujibu swali ili tuelimike.Uislamu siyo hoja ya muuliza swali.ameomba elimu
  13. K

    Naomba msaada, matairi ya toyota Noah yanaisha upande

    Ushauri wa madereva hapo juu unatosha kwbisa .hebu ufanyie kazi.pia angalia kama uzito unaobeba unaendana na tyre zako.je unakagua upepo (inflation) mara kwa mara? Kwa maelezo zaidi nipigie 0713235853 .
Back
Top Bottom