Hivi NATO ipo toka lini?
Na unaju fika kuwa NATO imeundwa maksudi ili kumkabili Russia, je toka NATO imeundwa imefanikiwa kumkabili au kumdhiti Russia aiendelee na malengo yake?
Je kama NATO ni suruhisho la kiusalama Duniani kwanini isimuondoe Russian kwenye Ramani ya Dunia ili kila mtu aishi...
Hivi Russia ni wajinga kiasi hicho kwamba wana vamia tu kijeshi nchi kama Ukraine bila sababu za msingi?
Au kuna mjinga mmoja yupo kati yao anatekeleza malengo yake binafsi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.