MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,105
- 3,068
Sitaki kuandika maelezo marefu sana naenda moja kwa moja kwenye Mada maana kichwa kimechemka:-
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki. Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.
Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.
Huyu demu nilikutana nae kimwili mwishoni mwa mwezi wa saba, ndani ya mwezi wa 8 akaniambia hajaona siku zake maana yake ana ujauzito wangu, mimi sikuleta ubishi nikakubali na nilimwambia nitakuwa nae bega kwa bega hadi mtoto atakapozaliwa.
Kilichonifanya nikimbilie kwenu wana Jf ni hiki. Nikipiga hesabu ya miezi 9 ya ujauzito nilitengemea atajifungua mwezi wa 4 lakini hadi leo mwezi wa 5 na tarehe zinaelekea mwishoni sioni hata dalili.
Na nikipiga hesabu toka mwezi wa saba mwishoni hadi mwezi huu wa 5 inafika miezi 10 ya ujauzito.
Je, inawezekana kweli hii maana Nahisi kama nimeingizwa chaka, msaada wenu kimawazo.