Recent content by kwitao

  1. K

    Je, inaweza kufunguliwa kesi dhidi ya Jeshi la Polisi ya kumwitisha Moses Lijenje aletwe Mahakamani?

    Huku kufoka ,kutukana na vitisho ,vinaficha nini? Kama ni mtu ametoa mawazo yake , kwa vitisho vya nini? Kuna dalili mbaya hapa. Ni swala la muda tu. Rejea ya Makonda.
  2. K

    Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

    Mbona umeandika kwa kumchafua? Kwani ungeabdika kwa kupinga alichokisema kuhusu Tanzania usingeeleweka? Unadhani kwa kumchafua itaondoa alichokisema kama ni kweli alisema? Itetee nchi yetu kwa kupinga wasemayo bila kubambika makosa kwa wakosoaji wetu.
  3. K

    Rais Samia atoa TZS 300BL kukamilisha majengo ya Serikali Jijini Dodoma

    Hizo siyo pesa zake. Yafaa kusema serikali imetoa,kwani hata wewe ni Serikali. Namaanisha kama siyo kodi zetu,ni mikopo ambayo itatulazimu kuilipa. Neno zuri " Serikali imetoa"
  4. K

    Shaka: Ikitokea kuna dalili za Uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukakaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka

    Uhuru wa Tanganyika umewekwa rehani kwa wazanzibari unafurahia, unatembea utakavyo katika ardhi yao, unamiliki ardhi yao utakavyo. Unakula jasho lao litokanalo na kodi zao utakavyo, hakuna mtanganyika hata mmoja anaruhusiwa kuajiriwa Zanzibar, hakuna anayeruhusiwa kumiliki ardhi huko...
  5. K

    Rais Samia atoa TZS 35BL Ujenzi wa Musoma Airport kumuenzi Baba wa Taifa

    Najua vijana wengi wa sasa hamjui . Miaka ya nyuma kuna kiwanja cha ndege cha kimataifa kilitakiwa kujengwa sehemu moja inaitwa Nyansurura. Baada ya Nyerere kuondoka madarakani mpango huo ukafanyika hadi leo. Ilikuwa kumuenzi vizuri ilikuwa kujenga huo kuliko ukarabati wa huo.
  6. K

    Masharti ya kuwekeza Zanzibar kwa Mtanzania bara na mgeni

    Huu upumbavu wa akina Nyerere na genge lake ikome , hatuhitaji muungano isiyo na usawa. Kama wanaweza kumiliki ardhi bara kwa kofia ya utanzania kwa nini Wabara isiywe hivyo huko? Hatutaki . Kero kubwa kuliko zote katika muungano huu wa hovyo kabisa. Nilipata kufika nje ya Tanzania ,eti siku...
  7. K

    Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

    Ni kweli siyo askari ,lakini wanayo mafunzo na ujuzi mkubwa wa mambo ya kijeshi. Hivyo si vema kudhani kwamba hawana madhara . Lakini pia kuna waliochishwa jeshi hadi leo hawakulipwa chochote. Tujifunze kutenda haki.
  8. K

    EU kutaka kesi ya Freeman Mbowe ifutwe hawajui kuwa Tanzania is a free State?

    EU ni jumuia inayoundwa na watu, wenye uakilishi hapa nchini, tena wanajua hata shule zetu zinaupungufu wa vyoo wanajenga, unadhani wanaweza kushindwa kujua kinachoendelea kwa swala la mbowe na wenzake! Kama ni EU imeitaka serikali ,hapo Chadema wanaingiaje? Jumuia nyingi duniani ziliitaka...
  9. K

    Waziri Gwajima: Viongozi wa Serikali wasiochanjwa waachie ngazi

    Haya mambo ya kipuuzi kabisa. Unataka watu wachanje kwa lazima ! Chanjo ambayo haiwezi kumkinga mtu na kirusi kipya! Au waziri hujasika hata huko kwa wenye chanjo kirusi kipya kinapeta tu. Tulia mama ,kama ni mapesa yao warejesheeni tu.
  10. K

    Rais wa Iran akutana na balozi wa Vatican mjini Tehran

    Hawa wa kwa Manzese nani aliwafundisha hakuna ukristo. Huyo kufundishwa na nani kuna ukristo!
  11. K

    Sheikh Ponda: Kabla ya kuomba mvua, tuondoe Dhuluma

    Hao wapo kwa ajili ya matumbo yao tu
  12. K

    Tunakwama wapi? Malawian Airlines (ndege 2) Vs Air Tanzania (ndege 11)

    Zanzibar ni nchi, siyo tena Tanzania visiwani. Anzisheni la kwenu. Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  13. K

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe - Novemba 22, 2021. Mahakama yatupilia mbali hoja tatu za utetezi. Kesi imeahirishwa hadi Novemba 23, 2021

    Kwani jaji kuyakataa mapingamizi ndo mwisho wa kesi? Au kupokelewa jaji ameshasema mahakama mwisho wa kesi itaamua . Tunapaswa kuwapa watulivu. Mawakili wa utetezi wanajua wanachokifanya hasa haya mapingamizi. Wanajua aina ya majaji tulionao. Hapo inatengenezwa nguvu ya hoja kwenye rufaa...
  14. K

    Ugaidi: Karibu 99% ya nchi zote Duniani zitakumbwa na ugaidi ifikapo mwaka 2040

    Silaha kuu ni haki na usawa tu. Kama ni kufunzwa siyo lazima waende huko , majumba yenu yatatumika kama vyuo vya kufundishia. Wataalamu watakuja humuhumu. Tuwe makini sana na wageni kama tukishindwa kutenda
Back
Top Bottom