Shaka: Ikitokea kuna dalili za Uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukakaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka

Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Uyu jamaa Yuko vizur Sana kichwani,anajua kupangilia anachoongea.

Sio Kama yule mlopokaji na Tambo zake za kipumbavu za vieite
 
Ndo nani..!
Uhuru wa Tanganyika umewekwa rehani kwa wazanzibari unafurahia, unatembea utakavyo katika ardhi yao, unamiliki ardhi yao utakavyo. Unakula jasho lao litokanalo na kodi zao utakavyo, hakuna mtanganyika hata mmoja anaruhusiwa kuajiriwa Zanzibar, hakuna anayeruhusiwa kumiliki ardhi huko. Watanganyika wanabaguliwa sana Zanzibar kwa imani yao. Nimekuwepo huko nimejiinea, tofauti na inavyosemwa. Muungano huu usio na usawa hauhitajiki tena. Narudia hauhitajiki tena .
 
Uhuru wa Tanganyika umewekwa rehani kwa wazanzibari unafurahia, unatembea utakavyo katika ardhi yao, unamiliki ardhi yao utakavyo. Unakula jasho lao litokanalo na kodi zao utakavyo, hakuna mtanganyika hata mmoja anaruhusiwa kuajiriwa Zanzibar, hakuna anayeruhusiwa kumiliki ardhi huko. Watanganyika wanabaguliwa sana Zanzibar kwa imani yao. Nimekuwepo huko nimejiinea, tofauti na inavyosemwa. Muungano huu usio na usawa hauhitajiki tena. Narudia hauhitajiki tena .
Unataka tuvunje Muungano kisa wewe umedharauliwa kwa dini yako?!!
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
Anaongaea utafikiri anaishi miaka ya 1980 ambapo kila tatizo la Afrika lilikuwa linaelezwa kuwa linasababishwa na wapinga mapinduzi na mabeberu!
Ukimuuliza hapo akufafanulie ataaanza kutoa macho kaama Kobe!
Uhuru uliopatikana ni kutokana na mabadiliko ya kiuhusiano wa kiuchumi na kisiasa baiana ya Watawala na Watawaliwa!
Hilo ilikuwa ni suala la nyaakati TU!
Ukiangalia kwa makini ni kuwa Wakoloni weupe walikabidhi Utawala kwa Wakoloni Weusi!
Hebu tafakari,...mwenendo na kazi za Serikali kutoka Ukoloni Hadi Sasa zimebadilika!?
Tofauti ni kuwaa Sasa Watawala ni Ndugu na Jamaa zetu! Basi!
Mengine kama kawaida tu!
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
Chapa kazi Kaka tuko na wewe,
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
 
==
"Kazi ya kulinda tunu ya uhuru na Mapinduzi matukufu ya Zanzibar ni jukumu la kufa na kupona kwa kila mzalendo kwani fatiki ya kupigania uhuru imepoteza maisha na mali za watu, nguvu na jasho jingi" Shaka Mwenezi Taifa

"Urithi wa Uhuru unapaswa kuthaminiwa na watanzania wote ambao ni warithi halali bila kutazama rangi za watu wake, asili zao, makabila au imani za dini zao" Shaka Mwenezi Taifa

"Haikuwa kazi nyepesi na rahisi kwa viongozi walioasisi mapambano ya kupigania uhuru kinadharia na vitendo hivyo itakuwa kituko endapo matunda ya uhuru itashindikana kulindwa au kutetewa" Shaka Mwenezi Taifa

"Wakati Taifa likielekea kuadhimisha miaka 60 ya uhuru wa uliopatikana disemba 9 mwaka 1961 kwa iliokuwa tanganyika, kazi muhimu inayotakiwa kutekelezwa ni kuhakikisha uhuru huo unabaki kwa manufaa toka kizazi kimoja hadi kingine" Shaka Mwenezi Taifa

"Iwapo atatokea mtu yeyote atakayeridhia kuwa kibaraka toka miongoni au kuwapigia magoti maadui wa uhuru lazima asutwe na kumulikwa kwa macho yote mawili" Shaka Mwenezi Taifa

"Kutoweka kwa uhuru wetu ni kuhatarisha maisha na ustawi kwa kila mmoja wetu. Kupoteza uhuru ni kazi rahisi lakini ikumbukwe jukumu la kupigania uhuru limegharimu na kupoteza maisha ya babu na bibi zetu hadi kizazi hiki wakaikuta nchi ikijitawala" Shaka Mwenezi Taifa

"Uamuzi wa kuunda taifa jipya la Tanzania ambalo halikuachwa na wakoloni ieleweke haikuwa kwa njia ya mkato badala yake waasisi wa Muungano walipitisha maamuzi magumu kwa muktadha wa kupigania maslahi ya kizazi hiki na vijavyo" Shaka Mwenezi Taifa

"Ikitokea kuwa na dalili za uhuru wetu kutaka kuwekwa rehani na sisi tukikaa kimya tusishangae makaburi ya wasisi wetu yatakapotetemeka. Watanzania wasiwe tayari kuona uhuru wao ukiporwa" Shaka Mwenezi Taifa

"Kila mmoja wetu ajione ana kazi ya kulinda uhuru ili usinyakuliwe hivyo mnalo jukumu la kuhakikisha mnatunza na kueneza machapisho ya historia ya nchi yetu" Shaka Mwenezi Taifa

"Wapo watu hawafurahi na kupendezwa kutuona tukijiongoza kwa kufuata matakwa ya sera zetu. Watu hao hawataacha vituko badala yake wataendeleza maneno maneno hadi pale watakapotuona tukigawanyika na kupoteza nguvu ya mshikamano wetu" Shaka Mwenezi Taifa

Niwahakikishie wakati tukiadhimisha miaka 60 Serikali ya Rais Samia ataendelea, kuondosha vikwazo vyote ambavyo vinakwamisha utendaji wenu ikiwa ni utekelezaji wa ibara ya 80 (b)ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025" Shaka Mwenezi Taifa

HIZI NI NASAHA YAKINIFU ZA KATIBU WA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA ITIKADI NA UENEZI SHAKA HAMDU SHAKA WAKATI AKIONGEA NA WAANDISHI NA WACHAPISHAJI VITABU LEO 01|12|2021

View attachment 2029646
 
Back
Top Bottom