Nani msimamizi wa huu usafiri?hii kero ya abiria kukaa kwenye kituo zaidi ya saa moja bila usafiri hamuioni?kwa nini wanasiasa wapo kimya juu ya jambo hili linalosumbua wananchi? tunapoteza muda mwingi sana kwenye vituo,muda ambao ilibidi wagonjwa wahudumiwe na wataalamu wanaosubiri usafiri,watu...
Kabla ya kuangushia lawama zote kwa madaktari na manesi,tuangalie na sababu hizi pia
1. Wanawake wengi wanakataa kushonwa msamba pale mtoto anapoongeza njia
2. Mwanamke aliyechanika msamba akishashonwa hatakiwi kunawa na maji ya moto ndani ya wiki moja ili nyuzi zisiachie(absorbable suture)...
Mwaka 2015, nakaa hostel(MUHAS) Kuna dada alikuwa amebeba mtoto mgongoni hajamvalisha chochote anagonga kila room kuomba msaada wa nguo au chochote kwa madai kua nyumba yao imepata shoti ya umeme na imeungua yote na vilivyomo,mdogo wake yupo amana hospital ameungua so ndio anapita kuomba msaada...
Na ukiuliza huduma gani nimejiunga na nawezaje kujitoa? Majibu Yao ni wizi mtupu! Hivi kwani kuna watu wanashindaga kweli hizo tusua mapene sijui mara sports au ndio mwendelezo wa wizi?[emoji848]
Tofautisha kati ya kulia na wizi wanaofanya nyie ndio mnaosababisha wasibadilike na kuendelea kuumiza watu yani kiufupi haujaelewa mada,shida sio kasi ya maendeleo wala ubora wa mtandao issue ni kwa nini wanakata salio nililoweka kwa hela yangu bila taarifa?
Sijalazimishwa na sihami ila kwenye ubovu lazima tuseme na sijasema kuwa mtandao ni mbaya may be wewe hujapata hizo changamoto
Kosoa kwenye tatizo sio kila kitu ndiyo mzee!!
Habari!
Hivi wakuu Vodocom mbona wanatuibia hivi, asubuhi nimenunua muda wa maongezi 1000 hawajakata nikaongezea 1500 ili niunge kifurushi cha wiki 2500 matokeo yake naambiwa sina salio la kutosha, kucheki salio ipo 2000 sh.500 wameikata na hakuna sms inayoonesha makato hayo.
Nimepiga customer...
Halotel wanakifurushi kizuri cha royal 10000 kwa mwezi unapata dakika za mitandao yote kama 200 na halotel zaidi ya 300,gb 2 kasi+4gb bonus mtandao upo fasta kama voda ila zikiisha hizo 6gb unaendelea kutumia internet free jf,whasap n.k ila kwa YouTube na Instagram mtandao unakua slow
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.