kwitandula
Member
- May 24, 2020
- 30
- 35
Habari!
Hivi wakuu Vodocom mbona wanatuibia hivi, asubuhi nimenunua muda wa maongezi 1000 hawajakata nikaongezea 1500 ili niunge kifurushi cha wiki 2500 matokeo yake naambiwa sina salio la kutosha, kucheki salio ipo 2000 sh.500 wameikata na hakuna sms inayoonesha makato hayo.
Nimepiga customer care kwanza matangazo ni mengi mara nipige tafu, shangwe shangwena! Kha kwani hiyo customers care ni kwa ajili ya kutusikiliza na kutatua changamoto au matangazo! Haya, anakuja kupokea huyo Mtoa huduma anasema tu hiyo 500 ulikatwa kwasababu umejiunga na sport mapene sijui(sijawahi) namuuliza namna gani naweza jiondoa anajibu nakutoa mimi huku kwenye system inakera sana.
Kama kuna wadau wa voda mtapitia uzi huu tafadhali rekebisheni hivi vìpengele
1. Mpunguze kuongea tunapopiga no yenu ya customer care ili changamoto zetu zitatuliwe kwa haraka matangazo yenu tafuteni namna nyingine ya kuyafikisha
2. Mteja akilalamika kukatwa salio msijitetee kwa kusingizia kuwa kuna huduma uliyojiunga umekatwa ada na mimi mtumiaji sijawahi jiunga.
Asante!
Hivi wakuu Vodocom mbona wanatuibia hivi, asubuhi nimenunua muda wa maongezi 1000 hawajakata nikaongezea 1500 ili niunge kifurushi cha wiki 2500 matokeo yake naambiwa sina salio la kutosha, kucheki salio ipo 2000 sh.500 wameikata na hakuna sms inayoonesha makato hayo.
Nimepiga customer care kwanza matangazo ni mengi mara nipige tafu, shangwe shangwena! Kha kwani hiyo customers care ni kwa ajili ya kutusikiliza na kutatua changamoto au matangazo! Haya, anakuja kupokea huyo Mtoa huduma anasema tu hiyo 500 ulikatwa kwasababu umejiunga na sport mapene sijui(sijawahi) namuuliza namna gani naweza jiondoa anajibu nakutoa mimi huku kwenye system inakera sana.
Kama kuna wadau wa voda mtapitia uzi huu tafadhali rekebisheni hivi vìpengele
1. Mpunguze kuongea tunapopiga no yenu ya customer care ili changamoto zetu zitatuliwe kwa haraka matangazo yenu tafuteni namna nyingine ya kuyafikisha
2. Mteja akilalamika kukatwa salio msijitetee kwa kusingizia kuwa kuna huduma uliyojiunga umekatwa ada na mimi mtumiaji sijawahi jiunga.
Asante!