Recent content by KWIBANKU

  1. K

    Najuta kupangiwa field Mtwara

    tumedharaulika sana mkuu hawaoni shda maana wao wanashiba, tunaongozwa na serikali iliyojaa mafisadi tu! Umewahi sikia dhiara ya rais imekwama kwa kukosa pesa? Ndo uone hapohapo leo yupo marekan anakula bata ww unashindia mapapai,
  2. K

    Selikali iliyopo madarakani acheni kutudharau vyuo vikuu

    Haki yetu iko wapi? Mbona mnatunyanyasa hivyo? Viongozi mnakula raha, mara mabilion ya pesa yameibiwa,rasilimali zimetapakaa kila mahali,mnalipana maposho makubwa, hivi dhiara ya rais inafaida gan kwetu sisi kama leo tu yupo marekan ikiwa mpaka sasa tunalala njaa hatujapewa pesa zetu za field na...
  3. K

    Raisi wa serkali ya wanafunzi udom (federal) achakuwa kikwazo kwa wanao dai haki zao

    hako kajamaa hakafai ndo maana nashangaa waliokapa kura ona ata kuwatetea wanafunzi wenzake kanashndwa! Wajifunze waliokapa kura wanateseka sasa,maana tulisema ni chaguo la utawala hawe kusimama kututetea, nampongeza kamanda mwakbinga ye ye hana ata mkopm lakin anahangaika wana udom wapate pesa zao
  4. K

    Ukimya wa serikali maana yake nini?

    Mbona vyuo vikuu tumesahaulika hivyo ? Kuna thamani gani ya elimu ya chuo kikuu hapa Tanzania kama tunakuwa watu wa kukopa kopa, namaanisha ni mwezi mmoja sasa umekatika hatujapewa pesa ya field! Viongozi wa selikali waziri wa elimu kulikon mbona kimya kimezid? Mtatuua
  5. K

    Ni hatari jaman hali ni mbaya vyuo vikuu

    Mbona hii ni dharau kubwa sana? Kwann wanyonge tunaonewa hivyo?hivi wazir wa elmu kaz yake ni ip? Yaan mnafisad mpaka pesa za wanafunz wa vyuo vikuu? Ina maana waziri wa elmu hajui kama mpaka sasa hatujapewa pesa za field tunakula nn sasa? Huu ni upuuz! haiwezekan kunyanyaswa kias hicho...
  6. K

    Wananchi wajeruhiwa Kasulu kwa kukanyagana wakigombania kadi za ACT

    ACT ni chama cha wachumia tumbo hamna tofaut na CCM na ndo maana wanaojiunga ni wale ambao hawajielewi/hawajitambui
  7. K

    Mbowe: Alichowasilisha Wenje ni Msimamo wa Kambi ya Upinzani

    Thibitisha kauli yako mbulula wewe
  8. K

    Hivi CHADEMA bado wapo?

    ccm maana yake tumbo mbele maendeleo nyuma, nani hajui hilo? Achenikuwalaghai watanzania
  9. K

    Prof. Ibrahim Lipumba: Tumeistukia UKAWA

    ccm kufa na ife tu
  10. K

    Vurugu zatokea Mkutano wa UKAWA Mufindi, wapokelewa kwa mabango

    Vijana watanzania wenzangu tubadilike,mnaisaliti nchi yenu kwa vjicenti vya kununulia pombe,huku viongoz wenu wana fuja rasilimal za nchi yenu,eti mnabebeshwa mabango mnapinga ukawa mnaakili kwel ninyi? Badiliken sasa tambuen kuwa ccm ya sasa siyo ile aliyo iacha mwl baba taifa
  11. K

    Ukawa na ukombozi wa tanzania

    mungu ibariki ukawa,mungu ibarki tanzania ipate uhuru tumechoka kunyonywa na mkoloni mweusi
  12. K

    Muungano wa Wapinzani India waelekea kuchukuwa nchi

    ccm ijiandae kisaiokolojia kung"atuka madarakani
  13. K

    Alphonce Mawazo: CCM hawaamini kama tuna akili.

    mshamba wewe unayeshabikia chama chakavu
Back
Top Bottom