Alphonce Mawazo: CCM hawaamini kama tuna akili.

Alphonce Mawazo: CCM hawaamini kama tuna akili.

Hoja yako hapa ni ipi? Kama kawaida yenu hamuwezi kujibu hoja mnaishia kwenye mipasho na vioja. Mwenzenu Werema kaumbuka bungeni kwa kauli ya kipuuzi ya kuwabagua wazanzibari hadi kaomba akiinamisha kichwa chini kwa aibu.

mkuu nyie wote ni makamanda , sema ni kwa vile vita havina macho .
 
Waliyo mchagua mawazo kuwa mwenyekit labda ni vichaa Kama yeye

Alafu mawazo unapost na kukoment mwenyewe shida kweli

Mbona unakubaliana na mleta uzi.
Kumbe ni kweli kwamba hamuamini kwamba akina mawazo wana akili kwa kuwaagiza mabalozi wa ccm kuongeza wapiga kura kimya kimya.
 
abakorakamo, mbona upo kila sehemu muda c mrefu umejiita mwana arusha na kusema mnataka serikali 2, sasa hivi unahiita mwanageita, tukueleweje sasa ww mhaya!
au ndo hiyo tabia ya kuwavalisha wanachama wenu nguo za upinzani na kuwapatia kadi za upinzani kisha kuwataka wazirudishe eti wapinzani wamejiunga na ccm.
 
abakorakamo, mbona upo kila sehemu muda c mrefu umejiita mwana arusha na kusema mnataka serikali 2, sasa hivi unahiita mwanageita, tukueleweje sasa ww mhaya!
au ndo hiyo tabia ya kuwavalisha wanachama wenu nguo za upinzani na kuwapatia kadi za upinzani kisha kuwataka wazirudishe eti wapinzani wamejiunga na ccm.

mama wa arusha baba wa geita...
 
mawazo changudoa wa siasa aliewasaliti wana sombetini kwa uroho wa pesa na madaraka,...wana geita wameshamgundua mawazo ni kibaraka, tapeli na mnafiki wa hali ya juu...

kama m.a.m.a ako vile
 
Waliyo mchagua mawazo kuwa mwenyekit labda ni vichaa Kama yeye

Alafu mawazo unapost na kukoment mwenyewe shida kweli

....Rais wa sombetini pichani !!!


f7994b515cL.jpg
 
mawazo changudoa wa siasa aliewasaliti wana sombetini kwa uroho wa pesa na madaraka,...wana geita wameshamgundua mawazo ni kibaraka, tapeli na mnafiki wa hali ya juu...

Waliyo mchagua mawazo kuwa mwenyekit labda ni vichaa Kama yeye

Alafu mawazo unapost na kukoment mwenyewe shida kweli
Hii ndiyo sura halisi ya ACT... upande mmoja ni CCM na upande mwingine ni ACT... LAKINI ni kundi lilelile la WASALITI.... Kitila aliwaagizeni hivi:

Hata hivyo, ni muhimu kukumbushana kwamba wenzetu hawatanyamaza kwa sababu eti sisi tumeacha kuwashambulia kwenye mitandao ya kijamii. ..........
Pia tutahakikisha kila post ya kumchafua inapatiwa majibu bila kutumia ID yake inayojulikana. Ni vema aidha akatupatia majibu na sisi kuyapost ama afungue ID mpya kabisa ambazo hazijawahi kuwepo kwenye mitandao halafu ndo awe anazitumia kujibu lakini kwa kuzingatia tuliyokwishayazungumza hapo juu yaani kutofanya kwa emotion na kuepuka jazba lakini pia kushauriana na watu wa karibu kabla ya kutoa majibu kwa jambo lolote linalomhusu.
 
abakorakamo, mbona upo kila sehemu muda c mrefu umejiita mwana arusha na kusema mnataka serikali 2, sasa hivi unahiita mwanageita, tukueleweje sasa ww mhaya!
au ndo hiyo tabia ya kuwavalisha wanachama wenu nguo za upinzani na kuwapatia kadi za upinzani kisha kuwataka wazirudishe eti wapinzani wamejiunga na ccm.
abakorakamo, ni mfuasi wa Zitto, shabiki wa ACT na CCM? Asiyependa kuona mafanikio ya makabila ya kaskazini!
 
Back
Top Bottom