Duh wadau acha tu Meta sekondari Mby hiyo kulikuwa na mdwanzi mmoja mwl wa nidhamu anaitwa kimatare kila siku yuko ghetin na hakosi kosa mara tai,utasikia mkanda si wa rangi ya shule balaa mtupu ili mradi akupe sitiki.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari zenu wadau??mi ni mwalimu graduate niliajiriwa 2011 nikafanyakazi miezi kama saba ktk mazingira halisi ya kazi ya ktz.Nikawa nimepata kazi ktk shirika moja ambalo niko nao bado lkn muda wa kazi zao unakwisha october mwaka huu.kule job kwangu baada ya kunizingua ruhusa nikaacha.Mi...
Hawa wanataka kufanya watanzania ni wajinga kiasi gani naona wao wanaweka mbele maslahi ya chama kuliko utaifa na watu wake watafute njia nyingine ya kujinusuru sio kuzuia bunge lisionyeshwe live na 2015 mtatukuta tu mtaani maana sis ndio wapiga kura wenu.
Hakuna uhusiano wowote hapo mimi niliajiliwa mwaka 2009 baada ya kuwa nimemaliza chuo nikapangiwa mbozi ndani nikariport nikafanya kazi kama miezi minne nikaona mazingira magumu sana nikamua kuacha nilikuwa nimeshapew cheki namba,mwaka unaofutia nikaomba tena nikapangiwa singida vijijin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.