Mkuu Stefano Mtangoo,
Kuna post iliandikwa na Mawenzi. Ilifanana sana na hii ya kwako. Alishambuliwa sana na alionekana siyo mzalendo. Mimi nakuunga mkono kwa sana. Mbona ushauri wako unafanana sana na ushauri ambao JK anapenda sana kuutoa kwa watu/vikundi vinavyosigana??
Ahsanteni sana Mr Kicheko, C6 na MziziMkavu na wengineo, nimefanikiwa kwa kutumia link aliyotoa Mr Kicheko. Nawashukuru wote. Je hii crack ni permanent?
Nime-download TRIAL Microsoft Office 2013 Professional Plus bit 32, na nime-install successfully.
Nataka kui-activate. Nime-install Microsoft Toolkit, lakini bado inasema UNLICENSED PRODUCT.
Msaada: Nifanyeje wanaJF??
Haswa! Hili ndilo anguko la Misri!! Wataitisha uchaguzi, na Brotherhood watashinda, rais atakuwa na siasa kali kama za Morsi, atapinduliwa. Itakuwa hivi hivi mpaka Misri tuliyoijua itakuwa siyo.
Huyu bwana mwongo sana! Ati hela atowazo huchangiwa na marafiki zake!!
Mbona hawataji hao marafiki zake? Kwani wao hawahitaji kusifika na kushukuriwa? Fisadi mkuu huyu!!
Kwa nini alikataa kuulizwa maswali??
Alifuata nini Mwanza??
Kwa nini asiwasaidie machinga wa kwao Arusha??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.