Muambie labda anaweza kukuelewa,mishipa imemsimama bila hata kufikir kuwa kesho kibarua kikifa,where she/he is going to start,na mtuache majasir wa kuthubutu tupumue,coz kma ELIMU tunayo na UJASIRI tumejaaliwa,yaan we have killed two birds with one stone.
Ahahaa,mabosi ni sisi tunaolipa kodi ili walipwe mishahara au siyo,nice indeed,inabid watuheshimu sna we are the group of winners,kile kitendo cha kuthubutu tu ni ushindi tosha,thanxs jesus,thubutuni basi na nyie tuone kma mtatoboa,SALUTE KWA WAJASIRIAMALI
Halafu mbona povu nje mkiambiwa khusu kuthubutu,hamjiamini coz hata huko maofisin wengi wenu mnaperform under-utilization pamoja na kuwa under management ya boss,ss ijekuwa kujimanage mwenyewe si utaugua ebola kwa stress,ACHEN TUWORK HARD IL MLIPWE SALARY.
Sijazungumzia mjasiriamal anaekopa,huyu ameshamove on na ana asset zinazosimama kma dhamana,nilchosema n mtu anaekopa 20ML kazin akanunue gari,nyumba ya kupanga,mshahara unagemwa every month,si kher ungeenda nunua kiwanja,jarbu kuelewa usikurupuke tu.
Hawa unaowaita ndugu zako ni kina nani? mabwege kama wewe au! maana watz wengi wetu tupo kwa level ya maisha ya huyo dada,means huyo ndo ndugu ytu sisi,ww labda unamtahadharisha mamako hapa,ungemlaumu kwa ukicheche sawa,but syo kusema DHARAU hapa.
Ukiona mwanaume anajishaua hivi,ujue amelelewa malezi ya kuku wa broila,na watu kama hawa ni ngumu sna kwao kuweza ku-socialize na jamii tofauti.Mabwege kama hawa hata kufanikiwa kwao kunategemea wazaz wao in a 95%,hawana ujasir wa kuthubutu kwa lolote.
Bro,hawa jamaa unawaumiza ujue na maneno yako,maana unakuta mtu ana gari ya mil 15,na n loan bank & daily inahtaji mafuta,nyumba ya kupanga,watoto shule,wazazi,kuhonga,sim S5,mpaka hapo kwann asiwe mwiz wa kodi zetu,WANAANGALIA WALIPO Instead ya WANAKOENDA
Tunapata fursa ya kujifunza hapa,makanisa yanayoibuka kila kukicha ni makao ya shetani,acheni kuwaamin hawa wanaojiita manabii dhid ya wake zenu,hawa n nyoka wnye sumu kali,UKIONA MKE HAKUELEWI MPE GREEN LIGHT MAPEMA AKAOLEWE NA NABII,UBAK NA AMAM ROHONI.
Lakini mnakumbuka kwamba huyu pia aliikingia kifua ESCROW kuwa fedha yake siyo ya UMMA?Atakwepaje kuitwa mnafiki huyu kwa kutetea uovu,angekuwa na busara kama angekaa kimya katka jambo kubwa lililogharimu jasho za watanzania.Kwangu mim huyu ni kma Muhongo.
Hivi watanzania bado tu hatujachoka na haya mauozo,hiv kwel watanzania tumeshindwa kuingia barabaran kudai pesa zetu,unafikir hii hela itarudi kwa maneno matupu bila damu kumwagika na hawa masnich kufirisiwa,NATAMAN KUCHAFUKE HTA LEO TUKOMBOE TAIFA LETU.
Hivi hii nchi ina vijana kweli? na kama wapo,je wanajua wajibu walionao kwa taifa na uzao wao,nchi ya watu mil 45,tumekubal kabisa kugeuzwa kama samaki na waPUMBAVU wachache,wanacheza na jasho za miili yetu bila aibu na hofu ya mungu,VERY SAD KWA KWELI.
Hakuna cha mungu kukusaidia,what follows now ni kilichojiri Burkinafaso,kijir na hapa nyumbani,jaman tumechokaaa,kodi zetu zinatafunwa na wapumbavu wachache,kila sehemu n wiz tu si halmashauri wala serikal kuu,.
Udhaifu wa kiuongozi ndio unaolizika taifa hili,ila kwa sababu tumeshachoka ni kheri kiwake tu,tuanze kutafunana wenyewe kwa wenyewe,dawa ya moto ni moto siyo majivu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.