Recent content by KWESHAFI

  1. K

    Wanawake: Kwa nini mnapenda wanaume walioajiriwa kuliko waliojiajiri?

    Muambie labda anaweza kukuelewa,mishipa imemsimama bila hata kufikir kuwa kesho kibarua kikifa,where she/he is going to start,na mtuache majasir wa kuthubutu tupumue,coz kma ELIMU tunayo na UJASIRI tumejaaliwa,yaan we have killed two birds with one stone.
  2. K

    Wanawake: Kwa nini mnapenda wanaume walioajiriwa kuliko waliojiajiri?

    Najua watakuja na hoja kuwa na wenyewe wanalipa kodi,right nyie na sisi who is paying a cash money,sisi hatulipi kodi ya KUSADIKIKA.
  3. K

    Wanawake: Kwa nini mnapenda wanaume walioajiriwa kuliko waliojiajiri?

    Ahahaa,mabosi ni sisi tunaolipa kodi ili walipwe mishahara au siyo,nice indeed,inabid watuheshimu sna we are the group of winners,kile kitendo cha kuthubutu tu ni ushindi tosha,thanxs jesus,thubutuni basi na nyie tuone kma mtatoboa,SALUTE KWA WAJASIRIAMALI
  4. K

    Wanawake: Kwa nini mnapenda wanaume walioajiriwa kuliko waliojiajiri?

    Halafu mbona povu nje mkiambiwa khusu kuthubutu,hamjiamini coz hata huko maofisin wengi wenu mnaperform under-utilization pamoja na kuwa under management ya boss,ss ijekuwa kujimanage mwenyewe si utaugua ebola kwa stress,ACHEN TUWORK HARD IL MLIPWE SALARY.
  5. K

    Wanawake: Kwa nini mnapenda wanaume walioajiriwa kuliko waliojiajiri?

    Sijazungumzia mjasiriamal anaekopa,huyu ameshamove on na ana asset zinazosimama kma dhamana,nilchosema n mtu anaekopa 20ML kazin akanunue gari,nyumba ya kupanga,mshahara unagemwa every month,si kher ungeenda nunua kiwanja,jarbu kuelewa usikurupuke tu.
  6. K

    Wafanya usafi maofisini

    Hawa unaowaita ndugu zako ni kina nani? mabwege kama wewe au! maana watz wengi wetu tupo kwa level ya maisha ya huyo dada,means huyo ndo ndugu ytu sisi,ww labda unamtahadharisha mamako hapa,ungemlaumu kwa ukicheche sawa,but syo kusema DHARAU hapa.
  7. K

    Wafanya usafi maofisini

    Ukiona mwanaume anajishaua hivi,ujue amelelewa malezi ya kuku wa broila,na watu kama hawa ni ngumu sna kwao kuweza ku-socialize na jamii tofauti.Mabwege kama hawa hata kufanikiwa kwao kunategemea wazaz wao in a 95%,hawana ujasir wa kuthubutu kwa lolote.
  8. K

    Wanawake: Kwa nini mnapenda wanaume walioajiriwa kuliko waliojiajiri?

    Bro,hawa jamaa unawaumiza ujue na maneno yako,maana unakuta mtu ana gari ya mil 15,na n loan bank & daily inahtaji mafuta,nyumba ya kupanga,watoto shule,wazazi,kuhonga,sim S5,mpaka hapo kwann asiwe mwiz wa kodi zetu,WANAANGALIA WALIPO Instead ya WANAKOENDA
  9. K

    Mchungaji Gwajima amejibu tuhuma za mume wa Flora Mbasha?

    Tunapata fursa ya kujifunza hapa,makanisa yanayoibuka kila kukicha ni makao ya shetani,acheni kuwaamin hawa wanaojiita manabii dhid ya wake zenu,hawa n nyoka wnye sumu kali,UKIONA MKE HAKUELEWI MPE GREEN LIGHT MAPEMA AKAOLEWE NA NABII,UBAK NA AMAM ROHONI.
  10. K

    Mwigulu Ni Tishio Mbio za Urais nje na ndani ya CCM

    Lakini mnakumbuka kwamba huyu pia aliikingia kifua ESCROW kuwa fedha yake siyo ya UMMA?Atakwepaje kuitwa mnafiki huyu kwa kutetea uovu,angekuwa na busara kama angekaa kimya katka jambo kubwa lililogharimu jasho za watanzania.Kwangu mim huyu ni kma Muhongo.
  11. K

    Revealing: TANESCO inaidai IPTL Tshs Bilioni 321...

    Hivi watanzania bado tu hatujachoka na haya mauozo,hiv kwel watanzania tumeshindwa kuingia barabaran kudai pesa zetu,unafikir hii hela itarudi kwa maneno matupu bila damu kumwagika na hawa masnich kufirisiwa,NATAMAN KUCHAFUKE HTA LEO TUKOMBOE TAIFA LETU.
  12. K

    Kishindo IPTL: Yahofiwa Pinda atajiuzulu

    Hivi hii nchi ina vijana kweli? na kama wapo,je wanajua wajibu walionao kwa taifa na uzao wao,nchi ya watu mil 45,tumekubal kabisa kugeuzwa kama samaki na waPUMBAVU wachache,wanacheza na jasho za miili yetu bila aibu na hofu ya mungu,VERY SAD KWA KWELI.
  13. K

    Pinda akiwa rais, nchi itaingia kwenye machafuko siku sio nyingi

    Mungu utusaidie kwa wakati huu,tunahitaji kiongozi mithili ya Hayati SOKOINE.tumechoka na hawa maprofesa wa KUSADIKIKA.
  14. K

    Kikao cha dharula cha Kamati ya Uongozi kukaa mchana huu kujadili ukaidi wa serikali kuhusu Escrow!

    Hakuna cha mungu kukusaidia,what follows now ni kilichojiri Burkinafaso,kijir na hapa nyumbani,jaman tumechokaaa,kodi zetu zinatafunwa na wapumbavu wachache,kila sehemu n wiz tu si halmashauri wala serikal kuu,.
  15. K

    Kikao cha dharula cha Kamati ya Uongozi kukaa mchana huu kujadili ukaidi wa serikali kuhusu Escrow!

    Udhaifu wa kiuongozi ndio unaolizika taifa hili,ila kwa sababu tumeshachoka ni kheri kiwake tu,tuanze kutafunana wenyewe kwa wenyewe,dawa ya moto ni moto siyo majivu.
Back
Top Bottom