Nina mdogo wangu kachaguliwa chuo Cha utumishi wa umma yaani Tanzania public service college kusomea certificate in secretarial studies
Sasa swali langu najiuliza akihitimu ataenda kufanya kazi wapi na Kama nani. mwenye kujua tafadhali anijuze
Natanguliza shukrani
Tatizo la kutosimamisha uume alilipata mwanangu nkamgundua akiwa na mwaka mmoja na nusu basi kumshirikisha Bibi ake nlipaata ufumbuzi nikamtibu Sasa yuko vizuriiii mnara unasoma 4gnlifurahi mnooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.