Weka kumbukumbu vizuri, Mzee ruksa baada ya mauaji ya mwembechai ndipo alipokuja na msemo wa 'RUKSA', anaetaka kula nguruwe ruksa, anaetaka kula nguchiro ruksa n.k.
Huyu ni mfanyabiashara wa jumla hapa Dodoma, Dodoma hatuna viwanda vya juice wala soda viwanda hapa ni wine na mafuta ya alizeti, huyu alikua ameficha 7bu ni mmoja kati ya wauzaji wa jumla wa sukari hapa Dodoma, nadhani wamepata kigugumizi ni mfadhili wa chama tawala na alijaribu ubunge ila...
Nimesikiliza clip ya mbowe, ana point, kwamba kama nchi itaongozwa kwa matamko ya raisi na bila kufuata utaratibu wa kibunge hakuna haja ya kukaa Dodoma na kupitisha mafungu ambapo baadae raisi atatumia anavyotaka yeye huu ni uvunjifu wa she ria za nchi na katiba, naanza kuona dalili za uongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.