Recent content by kwemanga2

  1. K

    Kwanini Sumaye asishitakiwe kwa mauaji ya Mwembe Chai na Pemba?

    Weka kumbukumbu vizuri, Mzee ruksa baada ya mauaji ya mwembechai ndipo alipokuja na msemo wa 'RUKSA', anaetaka kula nguruwe ruksa, anaetaka kula nguchiro ruksa n.k.
  2. K

    Mbunge wa Ilala, Zungu ateuliwa kuwa mwenyekiti wa Bunge

    Daaaah!!! Kiti kilikua kimepwaya sana, yaani huyu tulia acha fujo amelipoozesha sana bunge
  3. K

    Haidar Gulamali akutwa amehifadhi tani 154 za Sukari huko Dodoma

    Hapana, mweka hazina ni morama
  4. K

    Haidar Gulamali akutwa amehifadhi tani 154 za Sukari huko Dodoma

    Mkuu sukari ya kiwandani haifungwi kwenye mifuko ya kilo moja yenye nembo ya "Bwana Sukari"
  5. K

    Haidar Gulamali akutwa amehifadhi tani 154 za Sukari huko Dodoma

    Huyu ni mfanyabiashara wa jumla hapa Dodoma, Dodoma hatuna viwanda vya juice wala soda viwanda hapa ni wine na mafuta ya alizeti, huyu alikua ameficha 7bu ni mmoja kati ya wauzaji wa jumla wa sukari hapa Dodoma, nadhani wamepata kigugumizi ni mfadhili wa chama tawala na alijaribu ubunge ila...
  6. K

    Kambi ya Upinzani yasusia Bunge, watoka nje ya ukumbi

    Nimesikiliza clip ya mbowe, ana point, kwamba kama nchi itaongozwa kwa matamko ya raisi na bila kufuata utaratibu wa kibunge hakuna haja ya kukaa Dodoma na kupitisha mafungu ambapo baadae raisi atatumia anavyotaka yeye huu ni uvunjifu wa she ria za nchi na katiba, naanza kuona dalili za uongozi...
  7. K

    Ni kweli brother kinyonga hivi ana rangi ngapi

    CZI ni kitu gani ndugu?
  8. K

    Rais Magufuli avuruga wengi

    Cyber crime!!!!
  9. K

    AJALI: Gari imezama Kigamboni wakati wa kuvuka katika Pantoni

    Ilikua ktk pantoni au ilikua ikvuka darajani?
  10. K

    Majipu yaliyotumbuliwa kwa mbwembwe yarudishwa kimya kimya?

    Yule Mkurugenzi wa Manispaa ya Dodoma nae nasikia yupo wizarani mzigo kama kawa
  11. K

    Aibu: Mafisadi wataka kuiba mradi wa mabasi ya mwendo kasi

    Daaah!!!!! unagonga za USO mpaka kidhungudhungu, ooh mama Tanzania!!!
  12. K

    Rais Magufuli: Wanaotunyima misaada muwaonee huruma

    Huu utakua mtihani mgumu kwa mh. Raisi iwapo haya mlioandika ni kweli
Back
Top Bottom