Recent content by kwekwivala

  1. kwekwivala

    Jaji Lubuva: Nape angeijua Serikali asingekurupuka

    Mtizamo wangu, sina hakika na uwezo wa kisiasa wa Waziri mkuu. Pia ninawasiwasi na ushirikishwaji au namna anavyoshirikishwa jambo na nafasi Yake ya kushauri jambo. Je huwa anahisishwa mapema au ametengwa na mambo Yakiharibika ndo yeye anatafutwa kutoa tamko? Unaudhaifu mkubwa wa namna Ya kuamua...
  2. kwekwivala

    SIRI IMEVUJA: January Makamba ndiye kinara wa kutaka JamiiForums ifungwe

    Anahangaika sana huyu na urais ndo basi tena
  3. kwekwivala

    CCM waaibika Iringa

    Sasa Mwakalabela atashindana namsigwa kweli? Mambo mengine ni kujitakia tu kwakweli.
  4. kwekwivala

    Kuna mambo ambayo usipo yatazama kwa mbali unaweza ukadhani ni ya mzaha au hayana mashiko, uliwahi k

    Kuna mambo ambayo usipo yatazama kwa mbali unaweza ukadhani ni ya mzaha au hayana mashiko, uliwahi kuwaza ukame wa huduma flani iwapo ndugu zetu waislam wataamua kuwa na ibada ya wiki moja mfululizo kuanzia asubuhi hadi jioni na wote wakaitika kufanya hivyo na hasa katika jiji kama hili la dar...
  5. kwekwivala

    Hali Ya Askofu Gwajima Kwa Sasa

    Nimefuatilia comments zote za humu kupitia mada iliyowekwa nimebaini Mbasha anapata umaarufu asiostahili Sijui kwakua wengi wanamwona He looks so innocent ndo wanampaisha sana au aliomba huruma Ya jamii ndo Maana kila mtu anasema Mbasha, Mbasha! Sielewi ila nahisi watu wanajazba na hawajui...
  6. kwekwivala

    Kanisa la tanzania katika majaribu makubwa

    Point taken mkuu
  7. kwekwivala

    Paul Makonda amtaka Gwajima afike ofisini kwake kutolea ufafanuzi juu ya kumkashifu Pengo

    Ivi Baada Ya Kova kwa level Ya vyeo anayemfuatia ni Makonda? Au naona sivyo mwenzenu? Maana huyu kijana mwenzetu Naona anaroho Ya Yuda Ndani yake.
  8. kwekwivala

    Utafiti unasema 60% ya akina dada wafanyakazi wamepata kazi kwa kutoa rushwa ya ngono

    Huu utafiti unauhusiano wowote na wakuu wetu Wa ulaya waliotangazwa hivi karibuni!!!
Back
Top Bottom