Mwakalebela hongera sana kwa "maelfu" ya watu waliojitokeza leo dhidi ya "mamia" waliojitokeza jana kwenye mkutano wa CHADEMA. Kidumu chama cha mapinduzi... hakika nimeamini chama chashika hatamu.!
Elee uwiiiiiiiii ! toa toa haraka aibu hii ! na ni kakurusu kuweka hii picha hapa JF tena jifiche mbali usilale kwako Leo utatafutwa
umechafua ramani ya kuelekea uchaguzi wewe!!!! kabila gani huna huruma na woga.
Mwakalebela hongera sana kwa "maelfu" ya watu waliojitokeza leo dhidi ya "mamia" waliojitokeza jana kwenye mkutano wa CHADEMA. Kidumu chama cha mapinduzi... hakika nimeamini chama chashika hatamu.!
nimecheka sana !Mkuu huu ni uwanja mmoja?!
Vp Fisi na nyoka hawakuwepo?!
Mwakalebela hongera sana kwa "maelfu" ya watu waliojitokeza leo dhidi ya "mamia" waliojitokeza jana kwenye mkutano wa CHADEMA. Kidumu chama cha mapinduzi... hakika nimeamini chama chashika hatamu.!
Swali la kujiuliza kidogo tuu, mwakalebela alikuwa na nani na msigwa alibebwa na nani? Nyadhifa zao katika chama na mvuto wao kisiasa, mara ngapi tumeshuhudia mikutano ya chadema inahudhuliwa na viongozi tuu kwa kukosa watu
swali la kujiuliza kidogo tuu, mwakalebela alikuwa na nani na msigwa alibebwa na nani? Nyadhifa zao katika chama na mvuto wao kisiasa, mara ngapi tumeshuhudia mikutano ya chadema inahudhuliwa na viongozi tuu kwa kukosa watu
RC & DC lazima chama changu kiwachukulie hatua Kali ikiwezekana hata kuwaamisha au kufukuza kabisa! Yaani wamekubali ccm ihaibike kiasi hiki!? Kwa nini hawakuwaleta wanafunzi wa shule zote hapo Iringa!? Walimu wote!? Hili jambo lazima mwenyekiti wetu Kikwete awachukulie hatua! Polisi kwa nini hawakwenda wote, waliovalia magwanda na wale wasio vaa!? Haiwezekani chama changu kiaibike kiasi hiki!?