so fun,watu wa chadema ni hatari sana kwa propaganda,na fikra zao ni udini,ukabila na ukanda,hata chuki zenu kwa kikwete tatizo kubwa ni huo udini na ukabila,lakini kuweni makini ukianza watu wanamaliza ,hata huyo padre wenu mnaompigia upatu hatofanikiwa kama akiwa fikra za ukristo tu,nchi hii...