Wazanzibar wanatuchafua Watanganyika

Wazanzibar wanatuchafua Watanganyika

Hivi hii nchi ina rais kweli au BOYA tu?Hivi kwa haya mambo yanayotokea kweli hata BOYA lingeshindwa kuchukua hatua kali kwa wahusika hata kama ni maafisa usalama?Hivi hakuna wana CCM wa kuyazungumzia haya masuala na kusema 'Sasa basi!'ili tuungane na kuondoa hawa wahalifu na serikali Yao.Nimeamini Nyerere yawezekana ana 'utakatifu'fulani
 
ni kweli tatizo si zanzibar wala tanganyika wala tanzania ni utawala, utawala ni nani ni rais
na aliowachugua maana yake nini Rais ameshindwa kazi amebaki kulalamika tu siju wananchi wafanye nini kama rais analalamika
Jk please step down tupate mtu mwingine anayeweza kuongoza ipasavyo.
 
Matukio ya tindikali zanzibar na mauaji yanatuchafua pia watanganyika maana kimataifa inalipotiwa kama Tanzania ambayo 90% mataifa yanaitambua kuwa ni Tanganyika.

Wazanzibar mbadilike bwana.

Mkiambiwa viroba ni hatari kwa afya yenu hamsikii...
Endeleeni kunywa mpaka mtapike maini
 
Matukio ya tindikali zanzibar na mauaji yanatuchafua pia watanganyika maana kimataifa inalipotiwa kama Tanzania ambayo 90% mataifa yanaitambua kuwa ni Tanganyika.

Wazanzibar mbadilike bwana.

Kweli wamekosea kuwa mwagia tindikali wakoloni weupe,ilikuwa wawamwagie tindi kali wakoloni weusi,ningefurahi sana,nazani umenisoma.
 
Mkuu umekandamiza vizuri sana.CCM ndio ya kuilaumu kwanza inaitia Hili Taifa dosari kwa kuwabambikia kesi watu na wanasiasa eti ni magaidi.Hawajui impact yake mbele[kiutalii na kiuchumi].Tusiwalaumu wazanzibar inawezekana hao ni vijana wa Mwingulu Nchemba.Sio walianzia Igunga kutumia hiyo silaha yao ya Tindikali
 
Kweli wamekosea kuwa mwagia tindikali wakoloni weupe,ilikuwa wawamwagie tindi kali wakoloni weusi,ningefurahi sana,nazani umenisoma.

kwanza wale watoto ukiwaangalia vizuri siyo wazungu pure breed wale. Nywele zinaashiria wanaweza wakawa mulato fulani hivi; yaani huenda ni chotara wa kiaina hivi. Hasa yule wa kushoto kwenye picha
 
Mauaji ya Mholanzi Serengeti! Mauaji ya mwanamke wa ki-Canada yaliyofanywa na mtoto wa Kiarusha aliyekuwa akimsaidia huko Arusha! mauaji ya Albino...

Siku nyingi sana wazanzibari kama wangekuwa na akili finyu kama za kwako basi wangeshafungua thread "Watanganyika wanatuchafua Wazanzibari"

Mauaji mengine yana taswira ya Ujambazi. Lakini ya Zanzibar ni ugaidi ndiyo maana hawakupora kitu
 
Umeamka na matapu tapu
Si kosa lako bali malezi huna shauri ya kuwa na machokoraa wengi mitaani
 
Matukio ya tindikali zanzibar na mauaji yanatuchafua pia watanganyika maana kimataifa inalipotiwa kama Tanzania ambayo 90% mataifa yanaitambua kuwa ni Tanganyika.

Wazanzibar mbadilike bwana.

Usiwe mbinafsi kiasi hicho kwa kujifanya kujisahaulisha yanayotokea Tanganyika haya yafuatayo yalitokea zanzibar?
1. Kumwagiwa Tindikali kubenea
2. Kuwekewa sumu Mwakyembe
3. Kuuawa kwa Mwangosi
4. Mlipuko wa Bomu kanisani Olasit Arusha
5. Mlipuko wa Bomu Mkutano wa CDM Soweto Arusha
6.Kumwagiwa Tindikali Shehk Arusha
7. Kumwagiwa tindikali mzee wa Home Shooping center
8. kumwagiwa tindikali Musa Tesha
9. Mauaji ya kinyama ya Mwenyekiti wa CDM kule useriver
10. Kuuawa kwa kada wa CCm kule Ndago
11. Kuuawa kwa kada wa CDM kule Igunga
12. Kushambuliwa wabunge wa CDM kule Mwanza
13. kushambuliwa kwa Mbunge Nassar kule Monduli
14. Kuwepo na wauza madawa ya kulevya wanaotambulika lakini hawachukuliwi hatua ingawa rais ana majina yao.

Ukilinganisha matukio ya Zanzibar na kwetu Tanganyika ya kwetu ni mengi sana kwa hiyo kama ni uchafuzi wa Tanzania watanganyika tunaongoza kuichafua Tanzania.
 
Kweli wamekosea kuwa mwagia tindikali wakoloni weupe,ilikuwa wawamwagie tindi kali wakoloni weusi,ningefurahi sana,nazani umenisoma.
Hicho kitendo kimefanywa na wakoloni weusi hivyo si raisi kujidhuru wenyewe.
 
Matukio ya tindikali zanzibar na mauaji yanatuchafua pia watanganyika maana kimataifa inalipotiwa kama Tanzania ambayo 90% mataifa yanaitambua kuwa ni Tanganyika.

Wazanzibar mbadilike bwana.

Unaonyesha ufinyu wa kufikiri ulionao! Unakurupuka kwa matendo ambayo ni kidoto tu ndani ya ziwa la vitendo vya mauwaji yanayofanywa upande wa pili au ndio tuseme unathamini sana wageni kuliko ndugu zako Maalbino mnaowacharanga kama kuku? Hivyo unafikiri mauwaji hayo si kutumwagia ki nye si wazanzibari kwa kujumuishwa na Utanzania?
 
Zanzibar ni kitovu cha ugaidi. Bila Tanganyika Osama angeweka kambi yake Zanzibar

Inawezekana! Lakini huoni ubaya zaidi juu ya ushen zi wa kudhuruliana kwa imani za kiji nga zilizopo Tanganyika? Eti utajiri unapatikana kwa kumdhuru ndugu yako!
 
Islamic culture is no doubt satanic

Which came first between the two religions and who dealt with satanic on his preach among the two prophets, which obviously, led to culture?
 
Back
Top Bottom