Recent content by kwame nkuruma jr

  1. kwame nkuruma jr

    Steve Nyerere awajibu wanaolalamika pesa za msiba wa Masogange

    Toka enzi za msiba huyo mtu sina hamu naye
  2. kwame nkuruma jr

    Maisha club na utoto

    Mkuu ulienda kufanya utafiti kuangalia new Maisha club ,panda zile ngazi uone zilivyo stable
  3. kwame nkuruma jr

    Rais Magufuli kumteua Naibu DG wa TISS kuwa Katibu Tawala: Jicho la pili...

    Ukiona taa zime washwa ujue disco lime isha.
  4. kwame nkuruma jr

    Mfanyakazi TANESCO amefariki dunia baada ya kunaswa na umeme wakati akiondoa nyaya zilizokuwa zimekatika

    Pumzika kwa Amani mzee Chande Kipai msiba wake mitaa ya maili mmoja ili zizima na makabulini kulifulika na wakati wa kuondoka kila mtu alitafuta njia yake.
  5. kwame nkuruma jr

    Peter Msigwa: Nipo tayari kupima DNA na mwanamke aliyedai nimezaa naye

    Jana mzee Lowasa leo mchungali msingwa keshooo nani......:.....
  6. kwame nkuruma jr

    Waziri Mkuu awasili Nachingwea kwa ajili ya mazishi ya Ally Mtopa, mwenyekiti mstaafu wa CCM mkoa wa Lindi

    RIP Mzee Mtopa miaka yote nilikuwa najua una asili ya Nanjilinji Kumbe asili yako ni Nachigwea
  7. kwame nkuruma jr

    TANZIA: Mwenyekiti wa zamani wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Mtopa afariki dunia

    Poleni sana Wa a kilwa poleni sana wakazi wa Nanjilinji pole sana Sadati na Watoto wote wa mzeee mtopa
  8. kwame nkuruma jr

    Faida ya mauzo ya luku kwa mawakala kutoka 2.5 hadi 0.5

    Ina nikubusha misululu mirefu enzi zile kwenye Ofisi za Tanesco wakati wa kulipa bili za umeme kila mwisho wa mwezi
  9. kwame nkuruma jr

    Zoezi la ukaguzi magari na changamoto mpya

    Wakuu hivi ukaguzi mwisho lini ?
Back
Top Bottom