Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,261
Chama cha Mapinduzi (CCM), wilaya ya Kilwa mkoa wa Lindi kimepatwa na msiba kwa kumpoteza Mwenyekiti wa zamani na Muasisi wa Chama cha Mapinduzi CCM, Mzee Alhaj Ally Mtopa aliyefariki katika hosptali ya Taifa ya Muhimbili leo asubuhi alipokuwa amelazwa akipatiwa matibabu.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewapa pole wabunge kutoka mkoani Lindi kutokana na kifo hicho huku akisema kwamba Mzee Alhaj Ally Mtopa alikuwa miongoni mwa viongozi muhimu sana kwa nchi ya Tanzania.
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amewapa pole wabunge kutoka mkoani Lindi kutokana na kifo hicho huku akisema kwamba Mzee Alhaj Ally Mtopa alikuwa miongoni mwa viongozi muhimu sana kwa nchi ya Tanzania.