Recent content by Kwamacho

  1. Kwamacho

    Shutuma dhidi ya Tigo ukibakiza MB 20 au 30 wanazuia mtandao

    Tigo ni kwaajili ya vpn au hamjui😁
  2. Kwamacho

    Niko interested kufungua pharmacy/uwakala wa miamala ya pesa kwa simu

    Hivi kwanini mnaofanya biashara za mitandaoni mnalazimisha sana na wengine wafanye😁
  3. Kwamacho

    Madaktari wa JF nisaidieni sipati choo

    Kutopata choo wakati mwingine kitaalamu ni tatizo linalohusisha utumbo kuziba kitaalamu inajulikana kama INTESTINAL OBSTRUCTION Sababu inaweza kuwa ni kujinyonga kwa utumbo, au kinyesi kuganda kwenye utumbo, minyoo au mawe yatokanayo na nyongo kuganda,ugonjwa wa ngiri na nk Nenda hospitali...
  4. Kwamacho

    Mahusiano ya familia yangu yananiharibu kisaikolojia

    Ndugu zangu, napenda kushiriki hali yangu na ninaomba ushauri wenu. Nimekuwa nikilelewa na bibi yangu tangu nikiwa na umri wa miaka 2 na sasa nina miaka 24 na wazazi wangu wote wapo hai mpaka sasa. Sijawahi kuonana na baba yangu kabisa ingawaje kwa sasa tunawasiliana katika simu, Mama yangu...
  5. Kwamacho

    SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

    Sidhani kama ulikuwepo kipindi hicho Ila inaonekana hata hujui historia uliyofunzwa darasani Colonialists did not introduce ugali in Africa. Ugali ni chakula ambacho ni utamaduni wa mataifa mengi Afrika, mfano : -Tanzania na kenya tunaita UGALI -Uganda wanaita POSHO -Zambia na malawi wanaita...
  6. Kwamacho

    SI KWELI Ulaji wa Ugali husababisha udumavu wa akili

    Ugali kaanza kula babu na mababu zako wa karne na karne leo hii unaanza kuleta kichaa chako kuwa haufai Mwanafalsafa mmoja ( Socrates ) aliwahi kusema "I know that I am intelligent, because I know that I know nothing." Huna unalolifahamu nguvu ya kuzungumza unaitoa wapi? Tafiti gani...
  7. Kwamacho

    Hali tete Simba, Percy Tau na Dieng warejea uwanjani

    Unafuatilia mpira kweli wewe? Sio mdunguano ule Simba tushashinda mara mbili katika michezo minne tuliyokutana mara ya mwisho
  8. Kwamacho

    Madhara ya Vyuo Vikuu Kufundisha CERTIFICATE na DIPLOMA kwa Wanafunzi

    Hoja ni nzuri lakini unachozungumzia kina ukakasi kidogo. Tafiti zipi umefanya zinaonyesha Unyanyasaji wa kijinsia unasababishwa na watu wa degree kuliko non-degree huko vyuoni kwasababu wapo watu wanachukua certificate na diploma ( Non-degree) wamekuzidi umri hata wewe . Kwahio tutegemee...
  9. Kwamacho

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Yaani jf nayo wasimuliaji sijui mnatafutaga attention tu ya watu[emoji42]
  10. Kwamacho

    Biashara ya viatu mitumba ladies

    Hahahah watu mna majaribu [emoji23]
  11. Kwamacho

    Madaktari wengi ni misukule walio hai

    Inaonyesha una dharau sana na taaluma za watu Lakini inaonyesha taaluma hio unayoizungumzia huijui na wala haikuhusu ndio maana unaropoka ropoka tu Misukule hutengenezwa kwa mifumo ya mwanga au mchawi ambaye ndio huendesha taratibu zote Na kama umeona madaktari ni misukule basi wametengenezwa...
  12. Kwamacho

    Msaada: Dawa ya Degedege

    Kama nilivyokueleza mwanzo Degedege si ugonjwa bali ni dalili ya ugonjwa fulani usioujua! Hivyo kinachotakiwa kutibiwa kwanza ni chanzo kinachosababisha Degedege Nimekushauri kitaalam tu Sent from my iris50 using JamiiForums mobile app
  13. Kwamacho

    Msaada: Dawa ya Degedege

    Degedege ni dalili ya ugonjwa fulani na heri utambue degedege si ugonjwa! Kitaalamu degedege hujulikana kama CONVULSION Hio inaweza kuwa dalili ya magonjwa mbalimbali kama vile Malaria mbaya, Meningitis ( uvimbe katika tabaka la nje la ubongo), kifafa na nk Usitafute dawa muwahishe hospitali...
Back
Top Bottom