Recent content by kwahiyo

  1. K

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Hiyo picha ya pili jipu ni tembo?
  2. K

    Mambo kumi usiyoyajua kuhusu KUPUMUA

    Dk 5 ni nyingi mno, mara nyingi huwa ni ndani ya dk 1
  3. K

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Habari jamani, nami naomba niunganishwe kwenye hilo group ..0717 033813
  4. K

    Je, Ni sahihi kumuita askari wa usalama barabarani TRAFFIC?

    "ila naongerea traffic...", "ila nimeongerea na watu pia..." !!!??
  5. K

    Unajua kwanini watu hutapika?

    Wapi source? Au ni utafiti binafsi? maana hapo mwisho kwenye kukaa dirishani na miti kurudi nyuma..!
  6. K

    Nini kingetokea kama sisi binadamu tungekuwa na mkia?

    Tungezoeana hivyo hivyo na mikia yetu wala lisingekuwa jambo la ajabu ki hivyo.
  7. K

    Je, ni kwanini katika dunia halisi 1 haigawanyiki kwa 3

    Kamba ya mita 1 unashindwa kuigawa kwa watu watatu kwa kipimo sawa kwa wote? Unashindwaje??
  8. K

    Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali marufuku

    Matusi ya nini tena hapa? Mbona una jazba hivyo ndugu? Wanaokosoa uamuzi huo si wanatoa na mawazo mbadala au we husomi comment za watu mbalimbali humu?
  9. K

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Ni kweli haikuwa designed kutumia miguu yote miwili lakini kama utajaribu na ukazoea nakuhakikishia hutoacha kutumia miguu yote miwili unapoendesha hasa maeneo ya mjini ambapo magari ni mengi na vurugu kibao barabarani, kuchomekeana n.k. Ni kama anavyosema Mshana utaepuka ajali kibao.
  10. K

    Tanzania ndo nchi ya kwanza Dunia kwa kujenga Nyumba katikati ya barabara

    Hizo unazoita nyumba ndio dizaini ya vituo vya mabasi ya mwendo kasi. Staili ya mabasi haya haijaanzia bongo, ipo pia miji kadhaa ya Amerika ya kusini kama Santiago, Lima miaka mingi tu
  11. K

    Ubabaishaji Kituo cha Ufundi cha Tecno

    Mi nimepata kutumia tecno phantom A+ kwa karibia miaka miwili mpaka nilipoichoka na kuigawa kwa ndugu yangu. Ilikuwa poa sana na mpaka sasa ipo hivyo. Niliyempa amebadilisha betri tu wiki iliyopita
  12. K

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Nauliza kwa mwenye ufahamu gari aina ya Nissan e-trail matumizi sahii ya button ya 2WD unapoibonyeza gari itaendelea kuwa kwenye hiyo mode hata kama utasimama kwa muda na kushift toka D mpaka N au P na kurudi tena D ili uendelee na safari yako?
  13. K

    Wezi wa gari nimewakurupusha,nguvu za giza!

    Kama ilikutokea kweli pole sana mkuu. Lakini baadae ulijikagua vizuri? Isijekuwa ulikuwa kwenye ndoto maana ndoto ndo zinavyokuwa unawaona watu vizuri lakini baadae kidogo wala huwakumbuki tena
  14. K

    Wizi wa mafuta BP/Puma Sinza Kijiweni

    Kweli we walikupiga. Kwa gari yako, mafuta ya hela hiyo ulitakiwa uende posta na kurudi na kwenda tena hasa kama unakaa maeneo hayo ya Sinza.
Back
Top Bottom