Kumekuwepo na watu ambao wao kila jambo linalofanywa na upande mwingine kwao siyo jema(nyumbu hao)
Rais ameamua kufanya mabadiliko katika baraza la mawaziri wao wanaona amekosea wakati mpaka kiongozi wao Mkuu amepongeza(Nyumbu hao)
Kadnari Pengo kaamua kufafanua kauli ya askofu wa Rulenge kuwa...
Kumekuwepo na watu ambao wao kila jambo linalofanywa na upande mwingine kwao siyo jema(nyumbu hao)
Rais ameamua kufanya mabadiliko katika baraza la mawaziri wao wanaona amekosea wakati mpaka kiongozi wao Mkuu amepongeza(Nyumbu hao)
Kadnari Pengo kaamua kufafanua kauli ya askofu wa Rulenge kuwa...
Ujinga wako tena una Bahati badala ya kukomaa upate shavu unaanza kukomalia BUMUNDA!!
Brother kaona utahamia hata kwa Mke wake maana ni tabia yako!!
Kingine hyo shombe anaweza kuwa Mali yake!
Ona ulivyo mpotoshaji kwani amekwambia sheria zimekiukwa?
Kila kitu kupinga tu,unakoelekea utapinga watu wasile....MTU hajasema kaonewa au la anachosikitika nyumba imewekewa x,hatujui kama yeye ndo alijenga vibaya ama serikali imemuonea,na taratibu za kufuata zipo!!
Siyo ww uliyeshikiwa akili...
Ni jambo la kushangaza sana kuwa baadhi ya watanzania wajinga,tena wachache wakiamini wapo wengi na wana kundi kubwa,wangependa kusikia mambo yasiyokuwa mazuri tu kwa Taifa letu!!! Kweli ni mshangao
Furaha yao ni kusikia Tanzania imeshindwa mazungumzo ya makinikia tena watawahi kuanzisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.