Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,197
- 25,516
Hali ya Mbunge na Wakili Msomi mwenzangu Tundu Lissu imeimarika baada ya leo,kwa mara ya kwanza,kuzungumza na kula chakula.
Taarifa kuhusu jambo hilo imetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe aliyeko Nairobi Kenya anakotibiwa Lissu.
Kwa mujibu wa Mbowe,hali ya Lissu inaendelea kuimarika. Lissu anatoa salamu kwa wananchi wote. Mbowe anasema taarifa rasmi zitatolewa nao waliopo Nairobi.
Mbowe pia amekanusha kuwa Lissu hana infection katika kifua chake kama ilivyoripotiwa kwenye mitandao ya kijamii
Let us pray more for Lissu!
Chanzo: ITV Habari
Taarifa kuhusu jambo hilo imetolewa na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe aliyeko Nairobi Kenya anakotibiwa Lissu.
Kwa mujibu wa Mbowe,hali ya Lissu inaendelea kuimarika. Lissu anatoa salamu kwa wananchi wote. Mbowe anasema taarifa rasmi zitatolewa nao waliopo Nairobi.
Mbowe pia amekanusha kuwa Lissu hana infection katika kifua chake kama ilivyoripotiwa kwenye mitandao ya kijamii
Let us pray more for Lissu!
Chanzo: ITV Habari