nina maswali machache kuhusu FOREVER LiVING PRODUCTS.Hizi bidhaa kila kukicha napata sms,simu matangazo kuhusu umuhimu ktk afya n.k maswali yangu ni:
1. Kuna wangapi wamefaidika kiafya hapa nchini kutokana na kutumia bidhaa hizi (kwa mf kupungua uzito toka kilo mia mpaka kilo 70)???
2. je...
nadhani hatuhitaji waende likizo ya kutafuna mabilioni waliyokula tunataka fedha irudi na sio kwa staili ya fedha zitapelekwa kwenye kujenga maabara NO tunataka kuziona zikiwa kwenye akaunti kuwa zimerudishwa😡😡😡😡😡😡😡😡
kwa kweli mimi nimeshajikubalia kuwa msimu wa epl kwa arsenal umeshaisha na naanza kuamini kuwa mpka wenger atakapoa amua kuondoka ndo labda unafuu utaonekana
++TAARIFA HII IMETOLEWA KWENYE GAZETI LA UINGEREZA LA DAILY MAIL LEO++
(Tribe of Ghosts: Jacquelyn Martin's pictures of albinos in Tanzania | Mail Online)
Tragic plight of the 'Tribe of Ghosts': Inside the centre where Tanzania's outcast albinos find refuge from murderers who kill them...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.