Recent content by Kusini kuchele

  1. K

    JamiiForums Tanzania Sasa anakuaje mtakatifu? Na kivipi Mwanadamu anakua mtakatifu?

    Mchakato wa kumtangaza kuwa mtakatifu Mtumishi wa Mungu Julius Kambarage Nyerere, rais wa kwanza wa Tanzania aliyefariki mwaka 1999, umezidi kusonga mbele na sasa upo katika hatua ya kuwahoji watu (mashuhuda). Hatua hii ni muhimu sana ili kuthibitisha sifa yake ya utakatifu na maisha mazuri...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Bila Rais Samia hii nchi ingejifia kitambo sana,Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili

    Rais samia ndiyo Rais bora kuwahi kutokea kwenye Taifa hili na nina uhakika bila yeye hii nchi ingejifia kitambo sana Rais samia kipenzi cha wanyonge na kiboko ya wapizani na nina uhakika wapinzani wanampenda na kumkubali sana Muda mfupi Rais samia amejenga miundombinu mingi sana...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kifo cha JWTZ Marine Komandoo Kibona kimetuumiza wengi sana hasa kutokana alivyokuwa Mstaarabu, Mchapakazi na Mnyenyekevu popote awapo

    Oooooh kumbe hii ndiyo tabia yako?sawa Moderator mpigeni life ban huyu jamaa
  4. K

    JamiiForums Tanzania Zamani raha hiace Tsh. 3800

    Hii comment imenichekesha bwana
  5. K

    JamiiForums Tanzania Watu 10 maarufu zaidi kuwahi kutokea duniani

    Mtume Muhammad hakuwahi kuwa muasisi wa dini ya kiislamu asilani abadani Mtume Muhammad yeye alikuwa mtume wa mwenyeziMungu(Allah) na alisaidia pakubwa kusambaza dini ya kiislamu.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

    Halmshauri
  7. K

    JamiiForums Tanzania Nyie mmepata mshahara wa mwezi huu wa saba?

    Wakuu humu ndani vp mshahara wa mwezi huu wa saba mmepata? Mimi mbona kwangu ni bila bila sijaona meseji?
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mwanamke nimemtongoza ndani ya wiki na ndani ya wiki hii ananiomba hela ya kodi na hela ya keki ya birthday

    Wanawake nimewanyooshea mikono aisee Yaani hawa wanawake ni hatari aisee Yaani mwanamke nimemtongoza within this week na hata wiki yenyewe haijafika mwanamke ananiambia kodi imeishia, gesi imeisha na ndani ya wiki hii ana birthday kwahiyo nimnunulie keki ya happy birthday Aisee ndugu zangu...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Bila shaka tumejifunza kuwapa madaraka makubwa watu kutoka kanda ya ziwa tushaona wapoje

    Bila shaka kila mtu ameona nini kitatokea Iwapo tukiwapa madaraka makubwa watu kutoka Kanda ya ziwa maana tumeona mtu kama mwendazake alipewa madaraka makubwa tumeona alichokuwa anafanya yaani hawa watu wa kutoka kanda ya ziwa hawa wasukuma ni wabinafsi Wanajificha kwenye kichaka cha upole ila...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Huyu Askofu mbona haeleweki?

    Nimesikiliza sana ila sijaelewa, nikasema pia na machapisho bado sijaelewa... means waendelee kuandamana au kudai vipi? Wapi? Tuseme Leo askofu amekuwa disappointed kwa watu kutoandamana? 🤔Tuendelee kutafakari lengo lao, huku papa anasema msitumie dini.... 🙌 ASKOFU AWAHIMIZA WAKRISTO KUDAI HAKI...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Acha ujinga wewe mimi nimeuliza foolish
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Wapi nimemtetea chizi wewe mimi nimeuliza
  13. K

    JamiiForums Tanzania Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Mfuatilie mtu anayeitwa Lwiva
  14. K

    JamiiForums Tanzania Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Udini wake up o wapi?
Back
Top Bottom