Recent content by Kusini kuchele

  1. K

    Mwanamke nimemtongoza ndani ya wiki na ndani ya wiki hii ananiomba hela ya kodi na hela ya keki ya birthday

    Wanawake nimewanyooshea mikono aisee yaani hawa wanawake ni hatari aisee yaani mwanamke nimemtongoza within this week na hata wiki yenyewe haijafika mwanamke ananiambia kodi imeishia,gesi imeisha na ndani ya wiki hii ana birthday kwahiyo nimnunulie keki ya happy birthday aisee ndugu zangu...
  2. K

    Bila shaka tumejifunza kuwapa madaraka makubwa watu kutoka kanda ya ziwa tushaona wapoje

    Bila shaka kila mtu ameona nini kitatokea Iwapo tukiwapa madaraka makubwa watu kutoka Kanda ya ziwa maana tumeona mtu kama mwendazake alipewa madaraka makubwa tumeona alichokuwa anafanya yaani hawa watu wa kutoka kanda ya ziwa hawa wasukuma ni wabinafsi Wanajificha kwenye kichaka cha upole ila...
  3. K

    Huyu Askofu mbona haeleweki?

    Nimesikiliza sana ila sijaelewa, nikasema pia na machapisho bado sijaelewa... means waendelee kuandamana au kudai vipi? Wapi? Tuseme Leo askofu amekuwa disappointed kwa watu kutoandamana? 🤔Tuendelee kutafakari lengo lao, huku papa anasema msitumie dini.... 🙌 ASKOFU AWAHIMIZA WAKRISTO KUDAI HAKI...
  4. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Acha ujinga wewe mimi nimeuliza foolish
  5. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Wapi nimemtetea chizi wewe mimi nimeuliza
  6. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Mfuatilie mtu anayeitwa Lwiva
  7. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Mgawanyo wa kimadaraka na nafasi za uteuzi kati ya wakristo na Waislamu wengi ni akina Nani? Foolish
  8. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Nakuambia mwaka jana wakati samia ni rais kuna kama mashekhe 3 wamepotezwa na hii nimeshuhudia live bila chenga,
  9. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Okay! Kumbe ndiyo tafsiri ya udini? Ok ok
  10. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Swali langu lipo kwenye udini najua anafanya mambo ya kutisha sana ila kusema ni udini ni uongo mkubwa
  11. K

    Sifa za Marais wetu, Mwinyi RUKSA, Mkapa UWAZI NA UKWELI, Kikwete UFISADI, Magufuli MALIASILI, Samia UTEKAJI

    U nakumbuka awamu ya magufuli,mkapa na Nyerere? Nao tuwaterm ni wa dini?
  12. K

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Sahihi! Je udini wake uko wapi?
Back
Top Bottom