Recent content by Kusai

  1. K

    Hadaa Mpya kwa Watumishi wa Umma Kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Nafikiri ni kwa kuwa kwa mara ya kwanza imetoka hadharani na kwenye mitandao ya kijamii mie kwa mara ya kwanza nilikopa 2012 kipindi cha JK. Kwa hiyo mikopo ipo siku nyingi tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. K

    Wakazi wa Mtwara na Lindi, tupeni hali ya hewa na kile kinachojiri

    Baridi mvua yanyesha ingawa sio kubwa ni ile ya taratibu na upepo wa wastani usio na madhara tatizo haipumziki inanyesha mwanzo mwisho
  3. K

    Sms za matangazo ya michezo ya kamari ni kero TCRA tusaidieni.

    hili ni tatizo kubwa mnoo simu zetu kugeuzwa mbao za matangazo
  4. K

    Neema ya korosho msimu huu, bei yafikia tsh 4010

    Kilo 4 hadi 5 (hutegemea ukubwa wa korosho) ya korosho (ghafi) yaani isiyobanguliwa hutoa kilo 1 ya korosho iliyobanguliwa
  5. K

    Jifunze jinsi ya ku-unlock Tecno Y3+

    Ya soda kiasi gani
  6. K

    Teuzi za makatibu tawala wilaya wapya 27

    Kuna mabadiliko Das ndio katibu
  7. K

    Karibu Tanzania Papa Yohane Paulo II

    Nilinunua cd nika convert hizo nyimbo kwenye mp3
  8. K

    Karibu Tanzania Papa Yohane Paulo II

    Audio ipo nyimbo zote 16
  9. K

    Karibu Tanzania Papa Yohane Paulo II

    Nilibahatika kupata cd ya Karibu Tanzania
  10. K

    Karibu Tanzania Papa Yohane Paulo II

    tumpokee kwa shangwe kwaya ya Mt. Cecilia ya Mwenge
  11. K

    Mtela Mwampamba aula, ateuliwa kuwa Katibu Tawala wa Wilaya ya Ubungo (DAS)

    Katibu Tawala wa Wilaya sio afisa tawala
  12. K

    Naomba kufahamu jinsi ya ku-unlock modem ya huawei e303

    Model: Huawei E303 IMEI: 862565029594909
  13. K

    Naomba kufahamu jinsi ya ku-unlock modem ya huawei e303

    Model: Huawei E303 IMEI: 862565029594909
Back
Top Bottom