Fujo, hujuma, hasira, matusi, kejeli sio vitu vizuri katika siasa. Uvumilivu, hoja, mifano hai, mipango mahususi na pia mapendekezo ya wengi ni mambo ya maana sana katiika siasa. Pole sana Mbunge wa Mtera. Ila pia ni wakati wako wa kuvumilia na siamini kuwa hayo maneno kama kazee kagonjwa...