Habari za mda huu wanamichezo
Kwa ninachokiona leo, Simba anaenda kupata aibu kwa Mkaba na huenda kocha akarudi tena Brazil
Naisubiri Battle ya Kagoma vs Kanoute. Ni kichekesho kagoma anaujua sana
Bruno Gomes ni sawa na Chama watatu. Sijasemea beki kitasa Abdulimajid Mangalo
Kazadi najua...
Nimejikuta naangalia kwa bahati mbaya hiki kipindi, for sure judges ni wehu. Wanalazimisha presenters wanaokuja jaribu vipaji vya utangazaji wa magazeti lazima wapayuke kama Zembwela au Maulidi Kitegne, huo ni ujinga mkumba sababu kila mtu ana style yake.
Lily Omy ni ujinga umemjaa kichwani...
Limetokea wimbi la ivi visanii vya Sasa
Kuandika nyimbo mnazi record mnasiita freestyle
Au ndiyo hamjui maana ya mitindo huru?
Bongo freestyle walikuwa KING ZILAH na NIKKI MBISHI
wengine acheni izo mnajivua nguo
Habari za mda huu wapendwa
Manyumbu wa man United napenda kuwwambia Kuwa kocha mlienae mmepigwa waholanzi waga wajinga mno
Watawajazia wachezaji uchafu wa kiholanzi VANGAL ALIWAJAZA.
TEN HAG ANAWAJAZA PIA.
soon tu man United itakuwa kama PSV au AJAX au nerthaland national team.
Mkipata...
Wana hip hop hamjambo?
Aisee hii diss ya dkk 8 ya DIZASTA VINA ni balaa, mtoto RAPCHA amechanwa mno umo ndani. Siku zingine apunguze kiherehere, maradona DIZASTA ni moto sana kwa kizazi iki kwa utunzi.
Nakushauri mpenda hip hop kama hujaiskiliza itafute usikie kilichoongelewa humu.
Rapcha...
Habari za muda buu wana michezo,
Kwakweli simba haina pesa hata kulinganisha na Singida big Stars, maana kiungo aliyekuwa anatakiwa na Simba kwa udi na uvumba Kelvin Nashon matari ameamua kutimukia Singida Big Stars baada ya simbakukosa hela ya kumpa.
Hakuna ulazima wa kwenda Duba, huna...
Najua Jf umu kuna watu wa kila aina, wengi wa habari wa mbea nk naomba mtueleze mnaofahamu.
Uyu Dj anae treand na Video zake akipiga miruzi, mara Anasema Friday.
Mwishoni mwa mwaka huu zimeonekana clip akigawa pesa sana mtaani.
Je ni kweli u Dj unalipa kiasi iko na elimu yake ikoje?
Habari za mda huu,
Wapenzi wa team za kariakoo, msiumie leo nipo kumsifia kiungo wa dimba la chini wa Azam mzee wa one Touch
Na ma shoot ya mbali aisee Kenneth Mguna ni controller wa mechi. Anacheza uku anaelekeza!
1. Vision
2.Disguess passes
3 Flexibility
4.sharpness
5.Intelligence
Hizo ni...
Hii team inahitaji wachezaji kama 8 wa uhakika.
Nilishangaa jana iliponunua Kocha mpya.
Kanoute, Mzamiru, na wengine wengi hao wote ni Average player's.
Viongozi kama hamna pesa za usajiri semeni wadau wa soka tuwachangie.
Habari mlioenda shule kidogo njoo mtuambie aina ya Hii FALLACIOUS ARGUMENT
EXAMPLE:
All men are humans.
All women are humans.
Therefore all Men are Women.
Aya njoo Mbishane kwa hoja hapa[emoji16]
Habarini za mda huu wakuu
Juzi usiku nmekula beer nyingi sanakwa bei ya kawaida
Cha kustaajabisha jana nmeenda sehemu kuangalia mpira nashaangaa bei ya beer zile za 1500 naambiwa zimepanda na saivi ni shilinga 2000
Je ni kweli zimepanda au nimetaka kuibiwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.