Je, ni kweli bia zimepanda bei?

Je, ni kweli bia zimepanda bei?

kurlzawa

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2018
Posts
16,694
Reaction score
20,653
Habarini za mda huu wakuu

Juzi usiku nmekula beer nyingi sanakwa bei ya kawaida

Cha kustaajabisha jana nmeenda sehemu kuangalia mpira nashaangaa bei ya beer zile za 1500 naambiwa zimepanda na saivi ni shilinga 2000

Je ni kweli zimepanda au nimetaka kuibiwa?
 
Back
Top Bottom