Mleta mada kumbuka bajeti inategemea vyanzo viwili vya mapato.1)mapato ya ndani
2)misaada toka nje
Ebu tuonyeshe kwa kila nchi mapato ya ndan kiasi gani na misaada kiasi gani
Wale mabiionea wa Kenya ambao huwa tunaambiwa humu wako wapi? Tuna waomba Waache ubinafsi wasaidie wenzao wanakufa njaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani hawa watu ni wa kusaidiwa. Tuwasaidie maana wakenya wameona aibu kutokana na kutamba walikokuwa wanatamba. Huyu si adui wa kuombea njaa. Ni ndugu zetu. Yale maneno yao kwenye jf ni kwa ajili ya kuchangamusha jukwa tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkumbushe pia kajenga barabara,madaraja makubwa,meli,stiggler's gorge, upanuzi Wa mitandao ya maji mjini na vijijini, Elimu bure ,kuangamiza ufisadi, nidhamu ya kazi, amani, upanuzi Wa viwanja vya ndege, n.k.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaona tunadanganyana si uhamie huko wewe unayehusudu vya nje na koponda vya kwako. Malaya Wa akili ni watu Wa ajabu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.