British PM - "Half of all the tea drunk in the UK comes to us from Kenya"

True word.. halafu chai yote ya ukanda huu ikifika Mombasa wanajidanganya kwamba imezalishwa Kenya. Huu ujinga mwisho wake ni awamu hii.
Yaani mnada wa Dar ukianza tunauza chai yetu TZ ya Rwanda,Burundi, ya Malawi nk...wadau hasa wakulima wadogo wa Mufindi, Njombe, Rungwe na tea factories kv brooke bond, Mufindi Tea, nk wanalalamika chai kuuzwa Mombasa inawakosti zikiwemo gharama za usafirishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeanza hapa
Mkenya amepatana na mteja wa majani chai yake. Haya mambo ya mkoloni miaka hamsini baadaye ni ushamba flani hivi wa hali ya juu. Hivi unajua kwamba muitaliano alikuwa mkoloni wa muingereza milenia iliyopita chini ya 'empire' ya Roma?
Nikakujibu hivi... Nikimaanisha kipindi dola ya rumi inatawala kulikuwa hakuna taifa la UK bado.
Alikuwa hajawa muingereza bado
ukajibu hivi;
Nyinyi hapo mlikuwa watanzania wakati mkoloni alipokuwa anawasili Afrika? Hujui hata historia ya nchi yako?
historia ya nchi yangu imefanya nn hivi;
Historia ya nchi yangu inahusiana nini na mambo ya Rome and UK?
Nadhani hata mwenyewe hukuelewa vitu unavyojibu,ukajibu hivi;
nikakwambia hivi;
Kuiwaza tz kila wakati kunakufanya uchanganye mambo.
Maoni yangu; Tz inakukereketa sana...naishia hapa
Haya mapost uliyoambatanisha hapo juu mengine hata hayanihusu..cheche tu.... Ngoja nikacheki boli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think a cashew nut auction would work best for TZ compared to a tea auction. Let's be honest tea is not really Tanzania's stronghold!! Opening an Auction just to compete with Mombasa yet there's no clear comparative advantage is a misfit. Why not open a cashews Auction and grow it to be the largest in the world instead of obsessing over what your neighbors is doing.
 
Babu yangu kule Tukuyu alilima chai,na alikua akija enzi hizo hamna magari kule zaidi ya kuona lori bedford na isuzu kuu kuu zikikatiza kubeba ndizi na wasafiri wachache .kulikua na fuso kali sana mpya mpya zinakuja kukusanya majani ya chai na babu alikua kulima mkubwa tu wa chai na kahawa.kiasi hatukuwahi kununua hivi vitu maana alitengeneza mwenyewe home.
Sanasana hela aliyokua akipata inaenda kibubu au atanunua suti yake na kitenge cha mama na mafuta basi.
Nimeenda kijijini hapo juzi,chai miti wamekata yoote, ndizi zinalimwa kisasa ili wauziwe mbolea na ole wako ubishe,kahawa miti imekatwa karibia yote wamedai mizizi yake inaua rutuba ya ardhi.
Wanauziwa kila kitu toka nje sa hii.
Nilisikitika sana
 
jamani na korosho zetu mazee vipiii!!!😂
tuzidishe ubanguajiii!....
 
Yaani mnada wa Dar ukianza tunauza chai yetu TZ ya Rwanda,Burundi, ya Malawi nk...wadau hasa wakulima wadogo wa Mufindi, Njombe, Rungwe na tea factories kv brooke bond, Mufindi Tea, nk wanalalamika chai kuuzwa Mombasa inawakosti zikiwemo gharama za usafirishaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mufindi Tea factories zenyewe zinamilikiwa na wakalenjin wa Kericho,,,
 
Hakuna mtu mnafiki kama huyo
Laiti wangejua kuwa alisema mtu mweusi ni kama Tikiti linacheka (akimaanisha mdomo mwekundu)
Wala msingemshobokea



Sent from my iPhone using Tapatalk

Biashara unafanya na mtu yeyote regardless anakuitaje au anakuonaje. Ungejua USA na UK (au hata Australia na UK) wanaitanaje sijui ungeandika nini hapa.
Anyway; ndio roho mliyopandikiziwa na jiwe (aliepiga marufuku kuingiza maziwa ya Brookside akidhani anamkomoa Uhuru).
 
Biashara unafanya na mtu yeyote regardless anakuitaje au anakuonaje. Ungejua USA na UK (au hata Australia na UK) wanaitanaje sijui ungeandika nini hapa.
Anyway; ndio roho mliyopandikiziwa na jiwe (aliepiga marufuku kuingiza maziwa ya Brookside akidhani anamkomoa Uhuru).

Sawa


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Yeye mwenyewe kama prime minister ndiye amesema sasa unapinga nini?
LOL the worshipping of all whites indoctrination in your heads you people is amazing

So just because he's a white politics goon you just believe whatever rubbish he vomit?
 
Mkenya amepatana na mteja wa majani chai yake. Haya mambo ya mkoloni miaka hamsini baadaye ni ushamba flani hivi wa hali ya juu. Hivi unajua kwamba muitaliano alikuwa mkoloni wa muingereza milenia iliyopita chini ya 'empire' ya Roma?
LOL unavyojitapa utafikiri hata hayo mashamba ya chai mnayamiliki ninyi! Mashamba yenyewe ya mkoloni wenu na faida 90% ni ya mkoloni wenu
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom