Recent content by kunyenge

  1. K

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

    NDungu mimi sio mtaalau sana wa kutumia mtandao sasa sijui tunawasiliana vipi ?? Weka namba zako hapa nikupigie
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

    SIjui kupm weka namba nikupigie
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

    Huyu kijana ni tapeli kweli, nilimpigia simu akaja nikamwona tukapanga nimpe kazi , baada nilipotaka kuongea na wazazi na kuonana anayeishi nae akaingia mitini. nipigie tuongee , nikueleze zaidi yaliyonitokea na mimi kwa huyu kijana cause twaweza kumkamata tukishirikiana.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kwa ujinga huu, sitamuamini mtu hasa vijana

    N
  5. K

    JamiiForums Tanzania Shida ya uoni hafifu

    Pole sana, tafuta mafuta ya nyonyo yale original uwe unapaka wakati unaenda kulala usiku juu ya macho, mpaka uone mafanikio.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Nashukuru sana, ngoja nipitor
  7. K

    JamiiForums Tanzania Jifunze silaha kuu tano (5) za ulimwengu wa kiroho ili upate ushindi kwenye kila jambo

    Mkuu mimi nina kijana angu kamaliza chuo, ila ananiambia anaota ndoto yakuwa anatembea wakati yuko njiani anasikia miguu inaishiwa nguvu na inakufa ganzi . Maana ya hii ndoto ni nini??
  8. K

    JamiiForums Tanzania Piga kura tumalize utata, Chama na Pacome yupi bora zaidi

    Chama
  9. K

    JamiiForums Tanzania Dawa gani ilikusaidia kwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo?

    Mbona zipo na ni za kutumia mboga au matunda...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mbu wamekuwa tishio, nifanye nini kukabiliana nao?

    Chukua maji vikombe 2, weka jikoni, ongeza karafuu vijiko vikubwa 2, ongeza na baking soda vijiko vikubwa 2, ila baking soda uwe unweka kidogo kigogo, mpaka iishe cause inafoka. Baaba ya hapo ongeza na majani ya baylive. Epua acha ipoe kigogo, weka kwa chupa anza kuspray, hata inzi hawakai...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Jamani anaejua mafuta mazuri ya kuondoa darkspot bila kuchubua ngozi

    Nicheki nikype dawa hutajutia
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu mnazoeaje maumivu haya ya tumbo?

    Pole sana nicheki nikuambie dawa
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kimoja chali, naombeni msaada wenu kwa mliowahi kupata tatizo hili na mkalitatua

    Chukua karanga mbichi nusu kilo, toa uchafu, osha vizuri, lweka kwenye chombo ,tia maji yazidi karanga, acha kwa siku tatu. Siku ya tatu chuja ,kunywa glass asubuhi kabla hujala chochote, na jioni wakati wa kwenda kulala. Fanya hivyo uje ulete majibu hapa, tiba mujarabu.. Isipofanya vizuri ...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya chumvi kuzunguka nyumba na ndani ya nyumba

    Naomba kujua zaidi hapo kwenye kusafisha mwili, unaweka mafuta na chumvi kiasi gani?? Na unaitumiaje kupaka? Na unatumia kwa muda gani yaani kwa siku ,wiki,au mwezi ?? Kutwa mara mbili au?? Mkuu naomba unifafanulie hapo ahsante.
Back
Top Bottom