Recent content by Kuntah Kinte

  1. Kuntah Kinte

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Vikindu

    viwanja bado vipo?
  2. Kuntah Kinte

    SGT PHILIPO Imepotelea wapi?

    Iwekeni basi hapa maana nimesoma hadi pale wanapoanza kwenda kufukua mwili wa katibu mkuu.
  3. Kuntah Kinte

    Mbeya: Kesi ya Joseph Mbilinyi(Sugu) na Masonga yaunguruma! Warudishwa rumande mpaka Februari 9, 2018

    unadhani mtuhumiwa akiaanza kujitetea yeye atakuwa na haki ipi?mimi si mtaalamu wa sheria but nadhani mlalamikaji ndie anaepaswa kutoa ushahidi wake then mlalamikiwa nae ajibu.
  4. Kuntah Kinte

    Uchambuzi kuhusu ripoti mbili za Bunge kuhusu Madini ya Tanzanite na Almasi

    Itabidi turudie mtihani wa TRA maana aliye toa maoni nae kumbe alipaswa atolewe maoni.
  5. Kuntah Kinte

    Hamad Rashid ‘anunua ugomvi’ wa Lipumba, Seif

    Mwambie amkaribishe Leprofeseli kwenye chama chake.
  6. Kuntah Kinte

    Joseph Haule, Mbunge wa Mikumi amelikimbia jimbo lake(...?)

    Kwa mtazamo wako 2020 ndio mtalipata hilo jimbo,sahau.
  7. Kuntah Kinte

    Wamiliki jengo la Mkuki House wamemkimbia DC wa Kigamboni Mgandilwa

    Mkuu wa wilaya anakusanya kodi?
  8. Kuntah Kinte

    Kumekucha: Polisi wapewa siku saba kuwaomba msamaha Walemavu

    Mbona waziri amesha omba radhi.
  9. Kuntah Kinte

    Dodoma: Upinzani wampeleka Spika Ndugai Mahakamani

    Bunge nalo limepewa mamlaka ya kutoa adhabu kufuatia ukiukwaji wa taratibu au utovu wa nidhamu. Kanuni namba 74 (1), (2) na (3)(b) zinahusika. Hizi zinasomeka kama ifuatavyo: 74.-(1) Spika anaweza kutaja jina la Mbunge kwamba amedharau Mamlaka ya Spika na kisha kupeleka jina hilo kwenye Kamati...
  10. Kuntah Kinte

    Kisheria, Spika wa Bunge anaweza kuondolewa. Je, Job Ndugai aondolewe?

    Ungeweka na vifungu vinavyo onesha jinsi anavyo weza kuondolewa.
  11. Kuntah Kinte

    Nyeti toka Lumumba: CCM rasmi sasa mfukoni mwa mwenyekiti wake. Asiyemkubali kukiona 2020

    Raha ya milele awaangazie................................
Back
Top Bottom