Danny Jully
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 4,416
- 3,860
Ni matakwa ya kanuni, siyo matakwa ya Ruttashobolwa.hakuna uwasilishaji wa budget mbadala tena mjadala uliobaki ni mjadala wa budget kuu ya serikali 2017/2018 na kuipitisha
Ni matakwa ya kanuni, siyo matakwa ya Ruttashobolwa.hakuna uwasilishaji wa budget mbadala tena mjadala uliobaki ni mjadala wa budget kuu ya serikali 2017/2018 na kuipitisha
Hata mimi ningezima. badala ya kuwasilisha wanatafuta misifa na kutoa misauti mikali kama wana ugonvi na mtu na sasa hivi watakuwa wanatafuta Kiki kwa nguvu kubwa maana wamebwagwa mapemaaaUsije ukashangaa wakati kambi ya upinzani bungeni wanawasilisha bajeti yao jumatatu,ndugai akazima bunge live