Vyote vinaongozwa na watu na kwa faida ya watu, Viongozi wake wote wamejikita kutafuna jasho la wafuasi, Katiba za vyama zinakanyagwa kama ambavyo watu hawaifati biblia inavyotaka! Utofauti tu ni kwamba dini ni jambo la kiimani tofauti na vyama.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.