Recent content by kunako

  1. K

    Nahitaji mbaazi na mahindi ya njano

    Wanajanvi nahitaji mahindi ya njano na mbaazi mwenye nayo hayo mazao tajwa hasa akiwa Dar itakuwa nzuri 0715912123 tuwasiliane tafadhali
  2. K

    Nahitaji helment ya kuendeshea baiskel

    Ndo maana nikataja maeneo niliyoenda ,tandika na karume ndo sehemu nilizoenda na hakuna helment na ndo sehemu wanaposhusha baiskel za mtumba ,kama ni kariakoo nielekeze tafdhali
  3. K

    Nahitaji helment ya kuendeshea baiskel

    Habarin za usiku rejea kichwa cha habar hapo juu nahitaji helment ya kuendeshea baiskeli au naweza kuoata wapi vifaa vya kuendeshea baiskel kama helment ,gloves miwan na vinginevyo nimejaribu kwenda tandika na hata karume wanapouza baiskel za mitumba sijapata aksanten nawasilisha
  4. K

    Nini ukweli kuhusu layers and broiler concetrate?

    ni kweli ni usiku naamini watakutana na hilo jambo na tutapata majibu toka kwa wajuvi
  5. K

    Nini ukweli kuhusu layers and broiler concetrate?

    Habarini za usiku wana janvi wenzangu ,nimekuwa mfuatiliaji wa vyakula vya mifugo kwa ujumla kwa undani,laikini nimekuwa nikishangazwa na hiki kitu kinaitwa concetrate ambayo uchanganywa na pumba alafu na kuwapatia kuku kwa minajiri kwamba pumba kilo mbili inachanganywa na kilo moja ya...
  6. K

    Bei ya gesi ya kupikia majumbani yapanda

    Nilikuwa na msambazaji wa gesi jana akasema kuanzia jumatano ya wiki hii (yani leo) itapanda n kuwa elfu kumi na sita kwa wauzaji hiyo ni mihani
  7. K

    Fursa katika kilimo cha viazi lishe, tuchangamkieni upesi

    Nimekuelewa sana kaka ngoja nijipange kwa ajili ya mbegu ,Je kilimo hiki hakifananai na zile story za jatropha , ufugaji kware ,na ufugaji wa sungura kweli maana wanaoanzishaga huwa wako vzur kwwnye maelezo
  8. K

    Hivi baada ya harusi ni lazima wanandoa kwenda honeymoon?

    Hakuna umuhimu kwa kweli ndoa nimefunga na hilo fungate si kukaaa sikuona sababu
  9. K

    Nina shida ya kuchelewa kufika kileleni na pia kutoa shahawa chache na kushindwa kurudia tendo

    Nashukuru sana, maana niliyemuoa nimedumu nae miaka mitano ndo nikamuoa hivyo ananijua vilivyo
  10. K

    Nina shida ya kuchelewa kufika kileleni na pia kutoa shahawa chache na kushindwa kurudia tendo

    Nashukuru kwa ushaur na pia naendelea kupokea ushauri maana kitu hiki nina kama mwezi mmoja na nusu ndo kimenianza
Back
Top Bottom