Ndo maana nikataja maeneo niliyoenda ,tandika na karume ndo sehemu nilizoenda na hakuna helment na ndo sehemu wanaposhusha baiskel za mtumba ,kama ni kariakoo nielekeze tafdhali
Habarin za usiku rejea kichwa cha habar hapo juu nahitaji helment ya kuendeshea baiskeli au naweza kuoata wapi vifaa vya kuendeshea baiskel kama helment ,gloves miwan na vinginevyo nimejaribu kwenda tandika na hata karume wanapouza baiskel za mitumba sijapata aksanten nawasilisha
Habarini za usiku wana janvi wenzangu ,nimekuwa mfuatiliaji wa vyakula vya mifugo kwa ujumla kwa undani,laikini nimekuwa nikishangazwa na hiki kitu kinaitwa concetrate ambayo uchanganywa na pumba alafu na kuwapatia kuku kwa minajiri kwamba pumba kilo mbili inachanganywa na kilo moja ya...
Nimekuelewa sana kaka ngoja nijipange kwa ajili ya mbegu ,Je kilimo hiki hakifananai na zile story za jatropha , ufugaji kware ,na ufugaji wa sungura kweli maana wanaoanzishaga huwa wako vzur kwwnye maelezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.