UKISIKIA UJINGA ULIOTOPEA NDIO HUU HAPA
Na Bollen Ngetti
WAKATI mwingine huhitaji hata elimu ya msingi kutambua kiwango cha ujinga wa mtu. Ni kheri anayeficha ujinga wake kwa kukaa kimya maana hutoelewa ni mjinga au ana akili sawa sawa.
Ninafuatilia kwa karibu sana safari ya Rais Samia Suluhu...
Hahaha lakini siyo kila mala Utumie get off of X better ukatizama na vyema ukahusisha another factors like The baseline established,Pre incident indicator na Mwisho Ni Normalcy bias.
Asante mleta mada kwani Survival Intelligence Ni muhimu kwa maisha yetu ya kila siku.
Hao Unaowaita keyboard warriors ndiyo Wanao Wanyima Usingizi kila kukicha,Ungelijua Dunia kwa Sasa inaogapa keyboard warriors zaidi ya hao warafi wa Madaraka.
Ukiona leo CCM anamsifia na kumpongeza Mdee jifunze kwa mtini,toka lini FISI akawa muuza Nyama buchani??? Eti leo Mdee anakuja na Hoja...
Mpinzani ateuliwe ili akampinge Boss Wake,Au Mpinzani avue Upinzani halisi avae Upinzani kasuku ili kunusuru KUB bungeni,dah...haya maigizo aise
Hakuna uhalisia hapo ila kuwahada watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.