Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #61
Mkuu, uzalendo wa mzee Mkapa sio wa kuelezewa kwa hoja tano pekee. Yule mzee amefanya mambo mengi sana kwa taifa hili ambayo mengine hayaelezeki kwa kadamnasi.kama hutojali outline hoja tano ambazo wewe binafsi zimekufanya umeone Mkapa kuwa alikuwa mzalendo. Asante.
Kama unashindwa kufahamu makuu ambayo Mzee wetu B.W Mkapa amelifanyia taifa hili, basi nina mshaka sana na utaifa wako mkuu.