Recent content by Kumbe Fujo

  1. K

    PUK namba yangu imepotea.

    Asanteni wote
  2. K

    PUK namba yangu imepotea.

    Asante sana Ndugu jamse
  3. K

    PUK namba yangu imepotea.

    Habari zenu Waungwana,bila kutegemea nilikuta simu yangu aina ya Samsung galaxy Grande Prime imefungika,kuna maandishi madogo yanasema "Your PIN has been blocked,enter PUK to continue".hiyo card yenyewe iliyo na nambari za pin na puk imenipotea kutoka zamani, Pls naomba msaada wenu wenye ujuzi...
  4. K

    Elimu kidogo ya Figo!

    Ningekushauri ufanye haraka ukamuone Daktari mhusika.
  5. K

    Historia ya Magellan

    Magellan the Explorer Kuna mwanafunzi yeyote wa zama za miaka ya sitini alipokuwa shule amesoma historia ya baharia Ferdinand Magellan?.
  6. K

    Msaada juu ya kufanya nywele za mwanaume ziwe nyeusi na zenye afya

    Jaribu hii, Home Remedies to Turn White Hair Black without Chemical Dyes
  7. K

    Kwanini shahawa haitoki?

    Muhimu ieleweke na nafikiri imeshaeleweka
  8. K

    Kwanini shahawa haitoki?

    Rafiki yangu alifanyiwa upasuaji baada ya lazer kushindwa kukamilisha kazi yake,shida ilikuwa ni mikojo haitaki kutoka kabisa,[blocked urine]kwa karibu siku tatu mfululizo,umri wake ni 58,ana mke na watoto,ikabidi kwa haraka afanyiwe upasuaji,anashukuru upasuaji na matibabu yote kwa ujumla...
Back
Top Bottom