Ni kazi tu mkuu Tatizo la watanzania wengi ni ujinga tu ukienda china utakuta watu wanafanya iyo kazi na ni nchi tajiri pia duniani acheni ujinga na uzwazwa nyie vijana wa kimasikini mlioweuka na vipato vidogo
Wakuu nilikua nauliza je kuna sehemu apa dar wanakodisha pikipiki kwa watu binafsi kwa shughuri mbali mbali kama ndio naomba mnijuze ilo chimbo kwa maana nimepata mchongo mmoja nataka niwe nausafiri kwa kuanzia wa kukodi ili kuraisisha shughuri zangu nikiwa apo mjini
Piki kipi ya aina yoyote...
Tuachie mambo yako apa bwana mkubwa tupo bega kwa bega na mwamba ili taifa halitakiwi kuongozwa kwa misimamo ya watu au kikundi flani liongozwe kwa kufuata katiba na sheria na ndipo haki ilipo na mwamba anafanya ivo kwanini uje na andiko la kutaka aache kuifuata haki mzee [emoji15]
Boda na madereva bajaji wasiguswe mbaka itakapopatikana katiba mpya Mkuu Wazo lako ni zuri ila kwa sasa litakua shida kwa maana uhuru / haki vitapotea tu kwa awo jamaa ambao pia ni watafutaji
Alafu nakushauri siku nyingine ujikite zaidi kwenye kutoa solution ambalo ata wewe ndio ungekua boda...
WANATENGENEZA TATIZO ILI WAJE KULITATUA CCM NA SREIKALI YAKE WANATUPELEKA SLOW IKIWA SISI TUPO NA HARAKA SASA NJIA IMEISHA KINACHOFANYA ISITUMIKE NI NINI YANI
African Country Tourism
Blogger ebu pitieni iki kiblog nilikisusaga juz nimekikumbuka nikaona nikifanyie malekebisho nimeamua kuweka free blogger template bado najiuliza nitoe ile meta tag au niache
MWIGULU KISHAFANYA YAKE SERIKARI NDIO VITU INAPENDA IVYO KUONA WANANCHI WANALIALIA MAISHA MAGUMU GHARAMA ZINAPANDA KILA KITU KIPO JUU
MH RAIS YUPO BIZE NA KUTENGUA NA KUTEUA YAN MBAKA SIKU MUWE NA AKILI WATANZANIA MTAKUA MMECHAKAA SANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.