Huyo si mpinzani, ni anatumiwa tu na Chama Cha Mafisadi kuua nguvu ya upinzani Tanzania hivyo hata usimwamini.
Kuhusu Maprofessor wa Tanzania walioingia ktk siasa ni hovyoo hata usomi wao hauna positive effects kwenye jamii.
Mnyamwezi wa singida?
Yaani sio siri nimejikuta nikiirudia kuangalia clip hii na kucheka sanaaa nashindwa kujua kuwa ni igizo, utani au reality. Hahaha Wema bana...!!!
Kumuoa Mwanamke polisi au mwanajeshi ni Risky sana kutokana na mazingira ya kazi zao.
-Hata kama alikuwa mwaminifu sana basi mazingira yanamfanya asitulie.
-shift za usiku akiwa na wanaume au kuhamishwa kikazi mkoa hadi mkoa....Utagongewa hadi uzimie.
-Nakushauri kama unampenda mwachishe hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.