Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
hata mimi nishaona fitna mkuuClouds wamekubalije hii itokee kabla yao? Anyway nategemea fitna nyingi kwenye hili, unaweza kuja sikia fulani kabaniwa kisa kapokea tuzo fulani
hata mimi nishaona fitna mkuuClouds wamekubalije hii itokee kabla yao? Anyway nategemea fitna nyingi kwenye hili, unaweza kuja sikia fulani kabaniwa kisa kapokea tuzo fulani
si wangeziita vodacom music award au?Wamepata sponsorship ya Voda
Voda wanaweza amua weka 15mil kwa kila tuzi
msanii gani ana bifu na EATV?Ukiwa na Bifu nao tu hupati Tuzo
Hata wasipozitambua Watanzania tutazitambua.clouds watazitambua tuzo hizo?
Umetumwa na ruge?si wangeziita vodacom music award au?
Nini kiliwafanya kuwa maji na mafuta??Eatv na diamond platnumz ni maji na mafuta , kama ni mfuatiliaji mzuri wa eatv
C kwel buana...mbna nymbo zake znapgwa sana tena kama hio kidogo ndo usiseme mida ya mchana....hata e newz pia hua anahojiwa...Nini kiliwafanya kuwa maji na mafuta??
Mbona yeye pamoja na vifaranga wake huwa wanahudhuria hapo kwaajili ya mahojiano..pia nyimbo zao hupigwa hapo..??
Ndio sababu nikauliza..au ni watu wanataka kutengeneza kitu..C kwel buana...mbna nymbo zake znapgwa sana tena kama hio kidogo ndo usiseme mida ya mchana....hata e newz pia hua anahojiwa...
Wanapiga kishingo upande wewe hujui bofu lao lilianzia wapiNdio sababu nikauliza..au ni watu wanataka kutengeneza kitu..
Ingawa naona Kama huyo kijana hajaonesha kujihusisha na hizo tuzo..
jamaa muongo huyo achana naeNini kiliwafanya kuwa maji na mafuta??
Mbona yeye pamoja na vifaranga wake huwa wanahudhuria hapo kwaajili ya mahojiano..pia nyimbo zao hupigwa hapo..??
dai anahusikaje hapoEatv na diamond platnumz ni maji na mafuta , kama ni mfuatiliaji mzuri wa eatv
Kuna watu wameshaanza vijimaneno vya kijinga, ila sidhan kama EATV wana shida na msanii yeyote. Watu tulidhan kwamba hapakuwepo kwa tuzo, so kama wamekuja na hii idea, basi tuwape support badala ya kuanza vijimanenodai anahusikaje hapo
hawana bifu ww ni mara ngap unamuona diamond friday night liveEatv na diamond platnumz ni maji na mafuta , kama ni mfuatiliaji mzuri wa eatv