[emoji1787]ni utahira uliotukuka kuamini kwamba
1. CHADEMA wanaweza kuondoa cctv camera kweny nyumba ya waziri
2.chadema wanaweza kuondoa walinzi wa suka jkt mageti 2
3. CHADEMA kwa wanavyoandamwa serikal ingeshakamata wote walioshirik
4.chadema wanawez kuchanga pesa zao kumtibu mtu walie...
Nlijichanga zikafika m3 nikafungua kibanda cha tigo pes , Mpes na Airtel money nikaweka msichn apo mm nikaendelea na kaz zangu baada ya mwez faid ilikua lak moja na sabini ,,, baada ya wiki 1 mbele akatapeliwa laki 4, baada ya siku 2 tena akatapeliw lak 7,,,, nikafunga kibanda nikakiuza nikauza...
Naitaji boxer yenye ipo na hali nzur isizid mwaka na miez 3 , mashine isiwe imefunguliwa location dar bei itaendana na hali ya piki2 ofa inaanzia laki 9 had 1.1M
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.