Recent content by Kuku wa Kabanga

  1. Kuku wa Kabanga

    Vijiwe maarufu vya Kitimoto Moshi Mjini

    Umesahau scorpion soweto.
  2. Kuku wa Kabanga

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Admin,kuna watu hiyo hela ni ya mboga tu,samahani lkn.[emoji2]
  3. Kuku wa Kabanga

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    C'mon bana,hujamuelewa vizuri jamaa,nadhani kwa lugha aliyotumia,hajasema scalpers hawameki money ila nadhani alichokua anamaanisha hawameki kiasi cha kuwazidi institutional traders like banks au individuals wenye capital za 1m kwenda juu,yeye kasema hela ya kula ambayo ni kweli ukilinganisha na...
  4. Kuku wa Kabanga

    OSIRAK: Mungu wa wafu mikononi mwa Makomando wa Israel

    Ni mtu mpuuzi tu atayeendelea kuamini kuwa haya mashenzi ni taifa takatifu,kwanza hayaamini uwepo wa Mungu,ni mashoga na yanafanya ushenzi wa kila namna.
  5. Kuku wa Kabanga

    Vinasaba vyaonyesha Waingereza walikuwa weusi

    King James VI aliyeandika king james bible was a black man.
  6. Kuku wa Kabanga

    Mpenzi wangu anamsifia mwanaume mwenzake ambaye ni mpenzi wangu mwingine

    Eti mwanaume mzima anataka kusubiri ndoa,bibie tafuta mwanaume huyo mwanamke mwenzio.
  7. Kuku wa Kabanga

    Kwenye hili la viapo, nimeshangazwa sana na mjadala wa CHADEMA unaoendelea

    Mshukuru mtu akikuita mjinga maana kuna matumaini siku moja utakua mwerevu,kuliko akuite mpumbavu,maana kuna aina mbilinza binadamu,wajinga na wapumbavu.
  8. Kuku wa Kabanga

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Ingia hiyo telegram channel,ni kwa ajili ya vitabu tu @TradersLibrary TraderLibrary to enter, click on the following link: [emoji116] Traders Library
  9. Kuku wa Kabanga

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Huwezi withdraw,unachofanya ni kuhamisha kwa acc ingine ya tickmill,nakushauri fungua tickmill pro account,utatakiwa kudeposit 100$ ndo wataruhusu uhamishe.
  10. Kuku wa Kabanga

    What's your favorite movie line/quote?

    Very good Sent from my SM-T210 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom