Ccm haohao ndo walipitisha mikataba mibovu hiyo. Leo wanajitekenya wenyewe tunaona ni mashujaa, jamani Tz tunasoma nini sijui!!!!! Wapinzani walodiliki hata kutoka nje ili wasijumuike kwenye huo ufedhuli wa ccm, lakini wananch hawahawa wakswakebehi sana!!!
Wazee wa kushangilia matukio, muwe basi na ujasili wa kukemea jambo bovu kabla ya kufanyiwa kazi na mkulu, hapo tutawamini, lakini kukaa nyuma na kushangilia baada ya tukio kufanyika ni unafuki mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.