Recent content by kufanakupona

  1. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Mbunye ambayo haijanyolewa ni tamu kuliko mbunye kipara

    Sikulazimishi uhamie kwenye vinyaganya vyenye kipara, nakupa elimu tu kijana. Ila pole sana mwanangu, tangu baadhi ya wajinga waanze kukuzingua kwa kucomment negatively kwenye nyuzi zako, umekuwa na majibu ya mkato sana kiasi cha kwamba kila mtu humu JF unamuona adui yako, mjibu mtu kutokana na...
  2. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Mbunye ambayo haijanyolewa ni tamu kuliko mbunye kipara

    Siyo ujanja wala nini kupenda kinyaganya chenye mavuzi mengi, yanasababisha ngoma kama ulikuwa hujui.
  3. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Nakupenda sana Matilda

    Kumuona mrembo wa kipepe waliyekutana hapa JF, huyu hapa, Matilda.
  4. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Nakupenda sana Matilda

    Matilda.
  5. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Sheria ya kelele: NEMC yatangaza rasmi kiama kwa wachafuzi wa kelele kwenye makazi ya watu

    Mbona hawajataja deciBel?, kwa wanaojua, ni deciBel ngapi? Hili tamko litaaathiri sana biashara za watu, litaathiri vipato vya taasisi za dini hasa ya kikristo, kwani wakristo wanavifanya vipaza sauti kama ni tangazo la kibiashara la wateja wakatoe sadaka, wakibanwa wasivitumie vipaza sauti kwa...
  6. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Kifo tunatembea nacho jamani, ilibaki kidogo tu...

    Hahahaa!! Haya maisha ya kibongo haya!!
  7. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Sifa 10 kutoka za Mnyama Fisi

    Mkuu eden kimario, Siku nyingine ukipata nafasi tuwekee SIFA ZA MNYAMA 'NYUMBU', tumuone mabaya na mazuri yake.
  8. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Haya ndiyo maswahibu kwa abiria wa basi baada ya kuzuia mifuko ya plastiki

    Unazingua. Huwa nikiona comments zinaanza na 'juzi kati', najua ni ujinga na uongo.
  9. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Komaa nao, ukienda nao sawa mmoja baada ya mmoja wanakimbia. Wasikutishe wala nini, nenda nao sawa.
  10. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Mleta mada hapa hutopata jibu sahihi, utapigwa mawe mpaka ukimbie!!, si umeona mwenyewe kazi hiyo?!!, wewe umeweka ugoko, wenzio wanaweka chuma.
  11. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Hela ya Tz tunaitafuta kwa shida inaisha kama upepo

    Kazi kubwa mshahara kidogo, mshahara wenyewe ukiutumia kidogo tu umeisha, hata kuutumia kwenye chakula bora cha asubuhi, mchana na usiku hautoshi. Haya ndiyo maisha ya Watanzania wengi.
  12. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kujutia uamuzi wangu wa kuwa member wa JF

    Sure Mkuu. Huwa nikikaa na wajanja wa wajanja wa uswazi na wa ushuani, hawatemi madini ya ukweli kama ya JF.
  13. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Sijawahi kujutia uamuzi wangu wa kuwa member wa JF

    JF ni jamii ya kijanja. Uswazi na ushuani huwezi pata madini kama unayopata humu.
  14. kufanakupona

    JamiiForums Tanzania Kondomu ziongezwe ukubwa zimekuwa ndogo sana

    Sina habari, kitambo sana sijatumia ndonga, nimepata mwanamke tukapima, naenda naye dry. Ndiyo hivyo, wamezitengeneza kwa multipurpose, wenye vibamia waweze kuzitumia, na wenye midungu nao waweze kwa kuishia katikati ya dungu.
Back
Top Bottom